Hatimaye Diamond Platnumz amepatana na baba yake, sasa anatoa fedha za matumizi

Hatimaye Diamond Platnumz amepatana na baba yake, sasa anatoa fedha za matumizi

Ni kweli lakini ni maisha yake hayatuhusu
 
[emoji6][emoji6][emoji6]msameh bure tu
[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]
sawa my sweet kwa heshima
Yako namkabiz kwa alie juu
Amhukumu

Embu relax kidogo mahabuba[emoji8] [emoji8]
 
[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]
sawa my sweet kwa heshima
Yako namkabiz kwa alie juu
Amhukumu

Embu relax kidogo mahabuba[emoji8] [emoji8]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]haya hamn shida love
 
Hata yeye ni mwanaume, yaliyomkuta baba yake hata yeye yanaweza kumkuta.
Mama yake Mond ni mcharuko kiaina sasa jamaa kaanza kuelewa kaona sio ishu pengine baba yake haikua lengo lake kumtelekeza Mond.
Ex (Ke) wako anaweza kukufanya ukamtelekeza mwanao bila kutarajia
 
Hivi mwajuaje kama baba yake alimkutaa mtoto nakama mama alipata mchepko halafu baba akajua naakaamua kumtoanduki..akaondoka na kichanga chake..mm nishauli sivizuli watoto kuingilia ugonvi wa wazazi maana huwezijua waligombania nini
 
Mambo mengine ni aibu tupu. Eti unawatangazia kwa watu kumpelekea matumizi mtu aliyekuleta duniani!!?? Asome vitabu vya dini vinasemaje kuhusu wajibu wa mtoto kwa mzazi wake.
 
Msanii Diamond Platnumz amemaliza tofauti na baba yake mzazi na sasa anampa fedha za matumizi anapohitaji
Mwanzoni msanii huyo alikuwa na bifu na mzazi wake huyo kwa sababu alimtelekeza alipokuwa mdogo
Baada ya kupata watoto imebidi amuelewe baba yake vizuri. Ndio kukua kwenyewe huko.
 
Mungu amsaidie mimi bado sijamsamehe baba angu na sipo karibu kumsamehe....Hawa wazee wa mjini waliwatesa sana mama zetu sasa ni wakati wao wa kuteseka pia
 
Tumpongeze Kwa Hlo, Chib Ni Mwanadam Km Alivyo Baba Yake, Biblia Inasema Samehe Saba Mara Sabin, Na Tuclipe Vsasi Lkn Ni Wangap Wanaweza? Kuna Watoto Na Vjana Wengi Wanaish Na Mama Zao Bila Msaada Wa baba Zao Na Na Wababa Hawana Time Kabsa. Mm Ni Me, Kuish Na Mwanamke Co K2 Rahc Lkn Km Umezaa Naye, Ana Kiumbe Chenu Ni Wajibu Wetu Km Wanaume Kusaidiana Ktk Kumtuza Kwan Co Htaj La Mtoto Kuja Dunian Ila Ni Starehe Zetu, So Ni Haki Ya Mtoto Kutunzwa Na Ni Jukumu La Baba Na Mama Kumtunza. Ss Baba Anapokimbia Majukumu Kwa Sababu Ya Ugomvi Wake Na Mama Anajiharibia Mahusiano Na Mtoto. Tuwajali Watoto We2 Hata Kwa Vchache 2livyonavyo, Kuwa Bahili Wa Vchache Vyako Na Kushobokea Vingi Vya Wenzio Ni Uchoyo Na Ubinafsi.
 
Kwani wali gombana na baba yake? Je kisa cha gombana kwao ni nini hasa
 
Back
Top Bottom