Hatimaye Diamond Platnumz amepatana na baba yake, sasa anatoa fedha za matumizi

Hatimaye Diamond Platnumz amepatana na baba yake, sasa anatoa fedha za matumizi

Mjinga akipata kituzo anafunga barabara na kituzo chake badala ya kuwasaidia vijana Wa mtaani kwake,

Juzi nikakuta barabara haipitiki kuuliza kuna nini nikaambiwa huyo Bwege anapita, but hajui anavyowakera watumiaji Wa barabara
 
Mjinga akipata kituzo anafunga barabara na kituzo chake badala ya kuwasaidia vijana Wa mtaani kwake,

Juzi nikakuta barabara haipitiki kuuliza kuna nini nikaambiwa huyo Bwege anapita, but hajui anavyowakera watumiaji Wa barabara

Mashabiki wake wengi wehu
 
Msanii Diamond Platnumz amemaliza tofauti na baba yake mzazi na sasa anampa fedha za matumizi anapohitaji
Mwanzoni msanii huyo alikuwa na bifu na mzazi wake huyo kwa sababu alimtelekeza alipokuwa mdogo

kwa alivyojibu hilo swali sidhani kama kuna maelewano hapo. ilikuwa ni jibu tu la kumridhisha mtangazaji
 
Msanii Diamond Platnumz amemaliza tofauti na baba yake mzazi na sasa anampa fedha za matumizi anapohitaji
Mwanzoni msanii huyo alikuwa na bifu na mzazi wake huyo kwa sababu alimtelekeza alipokuwa mdogo

Mateso huleta akili na ugumu wa maisha hukujengea kutafuta kwa juhudi. Huenda angedekezwa angekuwa mcheza shoo wa Ally Kiba. Hivyo hana sababu ya kumchukia baba yake.
 
Ni jambo la msingi kwa Diamond..... Pia ni il'm kwetu sisi Wanaume/ kinababa.

Tukiamua kuwakataa watoto basi tuwakatae moja kwa moja... Sio wakianza kuwa na mafanikio tunaanza kulia lia...
Kweli Mufti
hii ni il'm kubwa.
 
Kwakukosana na babayake hilo linaonesha jinsi alivyo mjinga wawezaje kukosana na baba mzazi kisa maneno yamama hawa wakinamama huwawanamanene maneno sana hasawanapoona watoto wameanzakupata fedha
Kwa hiyo Unataka kusema kila Mwanaume aliyetelekeza mtoto amesingiziwa tu kwa sababu akina "Mama wana manenomaneno tu"?
 
Huyo baba dai hana sifa yakuitwa baba

Kitendo cha kukimbia familia ni aibu sana kwa mwanaume

Mama yangu alimsumbua sana baba yangu, bt still baba hakuniacha mpweke
 
Mashabiki wake wengi wehu
Bongo fleva ni mziki wa uswazi kwa sisi wehu....
Nyie wa kishua endeleeni na wazungu wenu....
Mwehu mwenzetu akipita lazima tumpe salute kwani anatuwakilisha vema....
 
Back
Top Bottom