Hatimaye dili la Roman Abramovich kuiuza Chelsea kukamilika ndani ya saa 24 zijazo

Hatimaye dili la Roman Abramovich kuiuza Chelsea kukamilika ndani ya saa 24 zijazo

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Hatimaye Serikali ya Uingereza imeonesha njia ya wazi kwa Bilionea Roman Abramovich kuiuza Klabu ya Chelsea kwa Todd Boehly kwa paundi bilioni 4.25 (Tsh. Trilioni 12.3) ndani ya saa 24 zijazo

Vyanzo vya ndani zinaeleza kuwa kuna mafanikio makubwa katika mazungumzo wakati huu ambapo pasipoti ya Abramovich inashughulikiwa na Kamisheni ya Ulaya baada ya kuwekewa vikwazo.

Hatua hiyo ilifikiwa baada ya kukubaliwa kuwa deni la paundi billion 1.6 (Tsh bilioni 4.6) ambalo Chelsea inadaiwa na Abramovich halitalikwa kwake wala kwa watoto wake.

Source: SkySports
 
Hatimaye Serikali ya Uingereza imeonesha njia ya wazi kwa Bilionea Roman Abramovich kuiuza Klabu ya Chelsea kwa Todd Boehly kwa paundi bilioni 4.25 (Tsh. Trilioni 12.3) ndani ya saa 24 zijazo

Vyanzo vya ndani zinaeleza kuwa kuna mafanikio makubwa katika mazungumzo wakati huu ambapo pasipoti ya Abramovich inashughulikiwa na Kamisheni ya Ulaya baada ya kuwekewa vikwazo.

Hatua hiyo ilifikiwa baada ya kukubaliwa kuwa deni la paundi billion 1.6 (Tsh bilioni 4.6) ambalo Chelsea inadaiwa na Abramovich halitalikwa kwake wala kwa watoto wake.

Source: SkySports
Na hiz tetesi kuha uyo Abulahamovichi anakuja tanzania kuhinunuha simba ni zakweri?
 
Wazungu ni wezi,
Wamezoea kuwaibia waarabu mafuta yao, leo laana imewatafuna wanakulana wenyewe kwa wenyewe
 
Yaani aache timu zote Afrika aje awekekeze kwenye timu ambayo ata CAF wanaitambua Kwa jina la JUJU fc. Yaani aje awekeze Uchawini!!!
Juma siku ile alikuwa anafukia nini kutualibia uwanja
 
Back
Top Bottom