Lakini Baada ya mke wake kufuta kesi mahakamani na kufuta kesi ya kudai talaka, na Kumpigia Magoti Mumewe, Mume amegoma tena, amesema hamuhitaji tena. Kabadilisha maamuzi.
Msikilize mwenyewe hapa
AhahahhhhToo late to Apologize,
alimsumbua Mbasha huyu mwanamke,
wakati anamsingizia kubaka hakujua kama
atahitaji waongeze mapacha...
Too late to Apologize,
alimsumbua Mbasha huyu mwanamke,
wakati anamsingizia kubaka hakujua kama
atahitaji waongeze mapacha...
Unataka uolewe wewe?[/QUOTE
Hapana ila nataka nikuoe wewe!!
There is nothing like too late. Mbasha kama ni Mkristo kweli amsamehe tu kama anataka mwisho wa safari yake aingie mbinguni.
Huyo mtoto mwenye Red kasimama asee
Nadhani Hujamuekewa Mtangazaji,Kile Alichokisema Mbasha Ilikuwa ni Januari Lakini Juzi Baada Ya Flora Kuifuta Kesi Ya Kudai Talaka Mbasha nae Amegoma na Amesema hawezi kamwe kurudiana na Flora. Mnaposoma au Kuangalia Video Msikilize kwa umakini Acheni kukurupuka...Mbasha keshamwambia asisikilize maneno ya watu,hop nae hatasikiliza maneno ya watu km ww na ameshamwambia arudi walee watoto wao wawili;siku zote wakigombana,chukua jembe ukalime,wakipatana................!
Huyo mtoto mwenye Red kasimama asee