Mtu_Mzima
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 1,164
- 1,134
Ukisoma utajua tofauti ya mke na mume. Jinsia iliyojeruhi inasema samehe, iliyojeruhiwa inasema usisamehe.
Anaweza samehe safari hii asikosee akamuua hata kwa sumu. Anaweza asisamehe akakutana na mbaya zaidi.
Hapo ndipo nguvu ya maombi na kufunga na sadaka inapofanya kazi kabla ya kuchukua maamuzi. Aisikilize sauti ya Mungu na sio wanadamu.
Anaweza samehe safari hii asikosee akamuua hata kwa sumu. Anaweza asisamehe akakutana na mbaya zaidi.
Hapo ndipo nguvu ya maombi na kufunga na sadaka inapofanya kazi kabla ya kuchukua maamuzi. Aisikilize sauti ya Mungu na sio wanadamu.