paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Mkuu, ni mateso mno kukaa na kinyongo na watu, moyo, hufanya kazi yake vizuri ikiwa mhusika akiwa na utulivu na Amani ya moyo, ni Afya pia mkuu kusameheDuh mtu anakula matapishi yake shame
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, ni mateso mno kukaa na kinyongo na watu, moyo, hufanya kazi yake vizuri ikiwa mhusika akiwa na utulivu na Amani ya moyo, ni Afya pia mkuu kusameheDuh mtu anakula matapishi yake shame
Sio kweli,kwani hao ni wageni wa kwanza kumtembelea wakiwa na wake zao tangu aingie kwenye ukasisi??Wana mtia Mzee Pengo kihoro na hamu kwa kuja na wake zao.
Anatamani hata asingelikuwa Askofu angelikuwa na mama nyumbani wa kumsaidia angalau kufagia nyumba na kumtandikia kitanda.
Sasa maisha ya uzee bila ya Mke wala watoto ni Hatari tupu. na ukiwa
Sasa mkuu,si unajua tarehe 28 kuna nini?!!!.Hizo ni mbinu za kivita.Kumbe Wasukuma ni "mabumunda".....upumbavu gani huu?Yaani Makonda na Gwajima bado wanamkejeli mwenyezi mungu!
Binadamu huwezi chagui utubu dhambi ipi na uache ipi......Makonda atubu kwanza dhambi ya "MAUAJI" na Gwajima naye atubie UZINZI wake! VINGINEVYO WANAJISUMBUA TU
Hakika mkuu umenenaSiasa ni sabuni ya kusafisha mabaya kuwa mema na wakati huohuo kufanya mema yaonekane mabaya wakati mwingine siasa ni kucheza tu na akili za watu
Kuna jamaa ameshaitumaHiyohiyo
Unajua ndugu yangu siku zote mpira ingie mwenyewe uwanjani uucheze kwa hiyo Gwajiboy alidhani Siasa ni kitu chepesi,sasa anaonja ugumu wa siasa,nadhani hadi uchaguzi upite atakuwa ameshajifunza mengi.Kamsindikiza,lakini wananchi tunaona....ni bad for optics!
Gwajima kama kachanginyikiwa hivi aiseee
All he has said and done are coming to fvck him so bad....
Mpaka October 28,huyu mzee lazima aende Mirembe!
Kha!,kha!,kha!,kwanini mkuu?.Gwajima ni mpinzani halisi na anatumia mbinu ya hali ya juu kuhakikisha Jimbo la Kawe linabaki upinzani.Huu uhujumu anaowafanyia CCM ni wa kiwango cha juu mno
😂😂😂😂😂Hapa Bashite, pale Gwajima....balaa tupu. Huyu askofu ndiye yule aliyeulizwa amekula maharagwe ya wapi au?
Movie kali sana.
Umeona enh??!.Wewe mtu kuna wakati nakuelewa sana japo wakati mwingine unaniangusha.Uwezo wako wakufikiri ni mkubwa sana hebu toka uko gizani uliko ili huo uwezo ulionao uutumie kusaidia jamii kubwa ya watz walio kwenye lindi kubwa la ujinga, maradhi na umaskini.
Mkuu hili ni fumbo,kulifumbua hadi tuwasake watu walio karibu na hao wahusika watupe abcJe ni Makonda ndiye anawapatanisha Gwajima na Pengo? Au Gwajima ndiye anawapatanisha Pengo na Makonda? Au Pengo ndiye anawapatanisha Makonda na Gwajima?
Katika kujibu yafaa tujikumbushe machache kuhusu huu utatu;
Makonda aliwahi kumtuhumu Pengo kuhusiana na biashara ya madawa! Gwajima aliwahi kumtuhumu Pengo na kumtukana matusi mazito!
Makonda aliwahi kumtuhumu Gwajima kwa ufuska na madawa! Gwajima aliwahi kumshukia Makonda kuhusu dharau na la vyeti feki!
Wenyewe wanajisikiaje?Kiufupi tu jamaa amejipanga, anawabana wapinzani pande zote
Kwamba baba mchungaji ni "mpumbavu" na "failure" au???Formally stated, Newton's third law is: For every action, there is an equal and opposite reaction. The statement means that in every interaction, there is a pair of forces acting on the two interacting objects. The size of the forces on the first object equals the size of the force on the second object.
Na kuhusu zile pilau anasemaje?Kiufupi tu jamaa amejipanga, anawabana wapinzani pande zote