Uchaguzi 2020 Hatimaye Gwajima, Pengo na Makonda Wamekutana Pamoja kwa furaha kubwa

Uchaguzi 2020 Hatimaye Gwajima, Pengo na Makonda Wamekutana Pamoja kwa furaha kubwa

hata ingechukuwa miaka mingapi hyna shida kwani msamaha hauna mda wa kikomo hata miaka mia madam mko hai nyote wawili mlokoseana.
Hivi unaamini kabisa Gwajima anamaanisha kuomba msamaha?

Ninachosema hapa ni kwamba lengo lake ni kuwalainsha wale waliochukizwa na matusi yake kwa Askofu.

Haingii akilini tena kiongozi wa kiroho kumtukana Kiongozi mwenzake Kisha kukaa kimya muda wote huo alaf leo kisa uchaguzi akaombe msamaha.

Huenda KURA ni mungu wa Gwajima kwa maana zimemtiisha kuomba msamaha kuliko kutiishwa na MUNGU anayemuhubiri Kila siku...
 
Wote ni makada muhimu wakutane wapange jinsi ya kuishije October chama Chao kitakapokuwa Cha upinzani
 
Back
Top Bottom