Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Hana mshipa wa aibuKiufupi tu jamaa amejipanga, anawabana wapinzani pande zote
Katika hiyo picha mpinzani ni nani? Pengo au Makonda?Kiufupi tu jamaa amejipanga, anawabana wapinzani pande zote
hata ingechukuwa miaka mingapi hyna shida kwani msamaha hauna mda wa kikomo hata miaka mia madam mko hai nyote wawili mlokoseana.Kwanini wakutane wakati huu na sio wakati ule alipomtukana?
Umepita muda gani kwani?
Mjifunzege kusamehe siyo myashikirie weee! moyoni!!!! Hongereni sana waungwana wa Kolomije team, kwa kuyasahau yalopita sasa myajenge yajayo! mko safi, hata wachamba wima wawaseme vipi! yaani nimeipenda kwa kweli hii movie!Wataenda mpaka kwa shetani
Halafu km wewe mpo wengi sana humu!! angalia waliokupa like!!! duu!! yaani unachukia hatua walofikia? ndiyo wakuacha hivo! endelea kufa polepole!!!!Hii michezo Gwajima anayoicheza haitamsaidia kupata kitu jimboni Kawe, huku ni mjini, hii michezo akajaribu majimbo ya vijijini huko.
Tabia ya Gwajima imenifanya nimfahamu vizuri, kumbe kuna wakati anaweza kuliweka neno la Mungu pembeni kwa ajili ya manufaa yake binafsi, na zaidi, yupo tayari kuongea uongo wowote akiwa kwenye madhabahu yake kwa ajili ya manufaa yake binafsi.
Sasa dhamira inamshtaki anaishi kwa tabu mpaka mwili wake umepungua.
Wapenda vurugu akina ni yeye &co, hawatapenda hii kitu.Mjifunzege kusamehe siyo myashikirie weee! moyoni!!!! Hongereni sana waungwana wa Kolomije team, kwa kuyasahau yalopita sasa myajenge yajayo! mko safi, hata wachamba wima wawaseme vipi! yaani nimeipenda kwa kweli hii movie!
Na wewe Pengo ulifanya la maana sana kupiga kimya! hapo mwenye roho kwatu ni wewe Pengo! wajinga wote jifunzeni kwake, mtu akikusimanga piga kimya! tengeneza maisha, dhambi hiyo itamsumbua sana.
Wenye wivu na Makonda!! na wale mahasimu wa Gwajima wachonga deal ya picha, Wasabato kindakindaki msompenda Pengo wa RC sasa mnatamani mpasuke wenzenu haooooo!!!! na bado! ningejua aliyeunganisha hawa watu ningempa mbwa bure!
Wanapenda vurugu hao , alafu utasikia nchi haina nini haina nini, lo! Wameumbuka sasa!Halafu km wewe mpo wengi sana humu!! angalia waliokupa like!!! duu!! yaani unachukia hatua walofikia? ndiyo wakuacha hivo! endelea kufa polepole!!!!
Siasa ni Uhai, ni matumaini, ni uelewa, ni utamaduni, ni Usafi, - ila uchafu uko kwa Mtazamaji, na Mshabiki asiye jua kuwa hajui!!!ila hii picha ndo imenifanya niamin siasa mchezo mchafu....
Kwa hiyo leo ndo amekumbuka kuomba msamaha???.Siku zote alikuwa wapi?.Na ni kiongozi wa kiroho.Kiufupi tu jamaa amejipanga, anawabana wapinzani pande zote
Umeona eenhh??!!!!.Wajanja tushamjua.Ukiona mgombea anarudi mpaka kula matapishi yake yaliyooza basi ujue hali yake ni mbaya sana.
Gwajima anajua wazi haungwi mkono na makundi yote makubwa ya wakazi wa Kawe, sasa inasemekana Meko kamwambia embu tafuta kick kwa kutumia picha za mahasimu wake. It is too late to catch train on SGR.
Kweli aisee.Ukimya ni hekimaPengo angemjibu Gwagima alipotukanwa sijui ingekuwaje! Alitumia busara kukaa kimya. Namshauri Gwajima akasome falsafa ili ajue amna ya kupangilia maneno yake
Waswahili tuna msemo usemao kuwa hakuna mwanadamu anaye ijua kesho yake.
Yale maneno ya kejeli yaliyosemwa na GWAJIMA dhidi ya Kardinari Pengo leo hii yamemtesa hadi kufikia hatua ya kwenda kumpigia magoti.
Hakika Gwajima atajuta sana kujiingiza kwenye mambo ya siasa. View attachment 1577091
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kuhusu zile pilau anasemaje?
Kwanini haya afanye sasa?
Mkuu sijauliza maan ya maisha bora....Siasa ni Uhai, ni matumaini, ni uelewa, ni utamaduni, ni Usafi, - ila uchafu uko kwa Mtazamaji, na Mshabiki asiye jua kuwa hajui!!!