The Technologist JF-Expert Member Joined Jun 7, 2015 Posts 1,242 Reaction score 2,544 Sep 24, 2020 #221 brown terger said: hata ingechukuwa miaka mingapi hyna shida kwani msamaha hauna mda wa kikomo hata miaka mia madam mko hai nyote wawili mlokoseana. Click to expand... Hivi unaamini kabisa Gwajima anamaanisha kuomba msamaha? Ninachosema hapa ni kwamba lengo lake ni kuwalainsha wale waliochukizwa na matusi yake kwa Askofu. Haingii akilini tena kiongozi wa kiroho kumtukana Kiongozi mwenzake Kisha kukaa kimya muda wote huo alaf leo kisa uchaguzi akaombe msamaha. Huenda KURA ni mungu wa Gwajima kwa maana zimemtiisha kuomba msamaha kuliko kutiishwa na MUNGU anayemuhubiri Kila siku...
brown terger said: hata ingechukuwa miaka mingapi hyna shida kwani msamaha hauna mda wa kikomo hata miaka mia madam mko hai nyote wawili mlokoseana. Click to expand... Hivi unaamini kabisa Gwajima anamaanisha kuomba msamaha? Ninachosema hapa ni kwamba lengo lake ni kuwalainsha wale waliochukizwa na matusi yake kwa Askofu. Haingii akilini tena kiongozi wa kiroho kumtukana Kiongozi mwenzake Kisha kukaa kimya muda wote huo alaf leo kisa uchaguzi akaombe msamaha. Huenda KURA ni mungu wa Gwajima kwa maana zimemtiisha kuomba msamaha kuliko kutiishwa na MUNGU anayemuhubiri Kila siku...
naiman64 JF-Expert Member Joined Nov 22, 2013 Posts 6,961 Reaction score 5,460 Sep 26, 2020 #222 johnthebaptist said: Kwani Gwajima ana njaa? Anamiliki ndege na Huduma ya Neno! Click to expand... Kinachomfanya atake ubunge ni nini kama hana shida? Abaki kanisani
johnthebaptist said: Kwani Gwajima ana njaa? Anamiliki ndege na Huduma ya Neno! Click to expand... Kinachomfanya atake ubunge ni nini kama hana shida? Abaki kanisani
J jo mose JF-Expert Member Joined Aug 5, 2020 Posts 3,476 Reaction score 4,074 Sep 28, 2020 #223 Wote ni makada muhimu wakutane wapange jinsi ya kuishije October chama Chao kitakapokuwa Cha upinzani
Wote ni makada muhimu wakutane wapange jinsi ya kuishije October chama Chao kitakapokuwa Cha upinzani
B Bush Dokta JF-Expert Member Joined Apr 11, 2023 Posts 24,831 Reaction score 45,154 Jan 11, 2025 #224 Uzalendo wa Kitanzania said: MAKONDA, GWAJIMA USO KWA USO KWA KARDINALI PENGO Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda pamoja na Mgombea wa Ubunge Jimbo la Kawe Askofu Gwajima kwa pamoja wamemtembelea Kadrinali Pengo mapema leo. View attachment 1577160 View attachment 1577080 View attachment 1577083 Click to expand... Hawa walipatanishwa haikuqa nongwa. Lissu endelea, kaza kamba hivyo hivyo hadi vidole vyao vikatike
Uzalendo wa Kitanzania said: MAKONDA, GWAJIMA USO KWA USO KWA KARDINALI PENGO Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda pamoja na Mgombea wa Ubunge Jimbo la Kawe Askofu Gwajima kwa pamoja wamemtembelea Kadrinali Pengo mapema leo. View attachment 1577160 View attachment 1577080 View attachment 1577083 Click to expand... Hawa walipatanishwa haikuqa nongwa. Lissu endelea, kaza kamba hivyo hivyo hadi vidole vyao vikatike