Hatimaye Haji Manara atangaza ndoa rasmi na ZaiyLissa. Mastaa kibao akiwemo JB wameunga mkono

Hatimaye Haji Manara atangaza ndoa rasmi na ZaiyLissa. Mastaa kibao akiwemo JB wameunga mkono

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Wahenga wanasema mapenzi ni kikohozi hakiwezi kufichika .

Inaonekana Zainabu fundi sana naona ndugu yetu Haji Manara kakolea na penzi analopewa na Zai mpaka kaamua kuvunja kiapo chake cha kutooa tena mpaka anaingia kaburini.

Halafu imekuwa ghafla sana aisee hata miezi mitatu haijaisha Bugati kama Bugati kapagawa mpaka anatangaza ndoa 😂😂😂😂😂😂😂sisi yetu macho bwana.

Tunangojea mualiko twende tukale ubwabwa huku tunaweka notification on maana lolote linaweza kutokea kati yao maana wamekutana pipa na mfuniko halafu wote wapenda kiki 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Screenshot_20231211-144819_1.jpg



Ila JB naye mnafki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Screenshot_20231211-144842_1.jpg
Screenshot_20231211-145259_1.jpg
 
-1019849145.jpg
Wahenga wanasema mapenzi ni kikohozi hakiwezi kufichika .

Inaonekana Zainabu fundi sana naona ndugu yetu Haji Manara kakolea na penzi analopewa na Zai mpaka kaamua kuvunja kiapo chake cha kutooa tena mpaka anaingia kaburini.

Halafu imekuwa ghafla sana aisee hata miezi mitatu haijaisha Bugati kama Bugati kapagawa mpaka anatangaza ndoa 😂😂😂😂😂😂😂sisi yetu macho bwana.

Tunangojea mualiko twende tukale ubwabwa huku tunaweka notification on maana lolote linaweza kutokea kati yao maana wamekutana pipa na mfuniko halafu wote wapenda kiki 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

View attachment 2839517


Ila JB naye mnafki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

View attachment 2839520View attachment 2839524
 
View attachment 2839534Wahenga wanasema mapenzi ni kikohozi hakiwezi kufichika .

Inaonekana Zainabu fundi sana naona ndugu yetu Haji Manara kakolea na penzi analopewa na Zai mpaka kaamua kuvunja kiapo chake cha kutooa tena mpaka anaingia kaburini.

Halafu imekuwa ghafla sana aisee hata miezi mitatu haijaisha Bugati kama Bugati kapagawa mpaka anatangaza ndoa 😂😂😂😂😂😂😂sisi yetu macho bwana.

Tunangojea mualiko twende tukale ubwabwa huku tunaweka notification on maana lolote linaweza kutokea kati yao maana wamekutana pipa na mfuniko halafu wote wapenda kiki 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

View attachment 2839517


Ila JB naye mnafki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

View attachment 2839520View attachment 2839524
Ila wanawake wana roho ngumu,

Niishie hapa, ngoja niagize nguruwe
 
Back
Top Bottom