Hatimaye Halima Mdee na Wenzake wafungua kesi ya Kupinga kuvuliwa uanachama Mahakama Kuu

Ikusaidie nini? Je, wewe utapata huo ubunge? au dada yako ataupata? Waache wajivinjari mabinti wa watu
 
Ikusaidie nini? Je, wewe utapata huo ubunge? au dada yako ataupata? Waache wajivinjari mabinti wa watu
acha kukomenti utumbo wewe , hunijui sikujui,sikubaliani kabisa na upuuzi wa watu kutumia kodi yangu nayolipa kinyume cha sheria na utaratiu
 
Huenda wameshapewa Maelekezo toka juu! Vile vile huenda Jaji,DPP,NEC,Mwanasheria Mkuu nao wameshapewa Maelekezo!
Kesi itaharakishwa na kesi watashinda asubuhi tu .
 
acha kukomenti utumbo wewe , hunijui sikujui,sikubaliani kabisa na upuuzi wa watu kutumia kodi yangu nayoipa kinyume cha sheria na utaratiu
Unaumwa si bure! Sema wewe ni Chadema na kwa vile Lissu hawapendi ndiyo maana unapayuka ovyo
 
😁😁😁 kumbe vita bado mbichi ?

hapo ni zengwe mpaka muda wa ubunge uishe .

chezea Tanzania wewe ?
 
Eti wanasemaje!!?

Wanapinga kufukuzwa kwao uanachama kwa sbb hawakupewa nafasi ya kusikilizwa...?

Naamini wanaposema "hawakupewa nafasi ya kusikilizwa" nadhani wana maana sawa na kusema "hawakupewa nafasi ya kujitetea", au siyo jamani...?

Kama wana maana hii, basi hawa kinadada ni waongo sana...!

Wao ndiyo walikuwa hawataki wajitetee/wasikilizwe utetezi wao juu ya tuhuma zinazowakabili. Maana kama ni ishu ya kupewa nafasi, walipewa kote kote kule KK na katika BK...

Lakini ni ukweli ulio wazi kuwa, wao ndo walikataa/ walishindwa kuitumia nafasi hiyo kujitetea ili wasikilizwe na ili kuwezesha watu (wajumbe) kutoa maamuzi yao....

To cut the story short, it absolutely true to say that, all the evidence is pointing against them...

Mfano, juzi kati tu hapa kwenye kikao cha Baraza Kuu (BK), Mwenyekiti Freeman Mbowe kwa uwazi kabisa huku camera za TV zikionesha kila kitu, kabla ya kura ya maamuzi kupigwa alitoa nafasi hiyo kwa kina mama hawa, kwa yeyote kusema lolote kama alikuwa na cha kusema ikiwemo kujitetea...

Bahati mbaya sana kwa kina dada hawa, hakuna aliyesimama kusema lolote ikiwa ni pamoja na kujitetea kama walikuwa na utetezi wowote...

Ni nini hasa kina dada hawa wanataka...?
 
sw
swali langu ni jee!! endapo mahakama itakubali na kuwazuia wasifukuzwe uanachama na watabaki kuwa wanachama.. vipi nafazo zao za uongozi wataziteteaje... je kwa chama CDM wanachama ambao ni wajumbe na viongozi katika mabaraza ya chama wasipoonekana kuhudhuria mijadala ya chama je chama kinapaswa kuchukua hatua gani tena nyingine?
 
Wewe ni nani? Acha makasiriko, hao wapo hadi 2025
Na wewe ni nani ambaye hutaki mahakama ifanye maamuzi mapema shauri hilo.
Inaonyesha huna akili kabisa " justice delayed justice denied.
Wewe nazani kichwani kwako kuna matope hakuna hata ubongo
 
Na wewe ni nani ambaye hutaki mahakama ifanye maamuzi mapema shauri hilo.
Inaonyesha huna akili kabisa " justice delayed justice denied.
Wewe nazani kichwani kwako kuna matope hakuna hata ubongo
Nakueleza hali halisi ilivyo. Wewe unaleta U Tundu Lissu. Hao unao hadi 2025
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…