Ikusaidie nini? Je, wewe utapata huo ubunge? au dada yako ataupata? Waache wajivinjari mabinti wa watuachia haki itamalaki mapema tujue nani kawapeeka bungeni kinyemela lazima tutafahamu nani aliandika barua ya kuwateua, na nani aliamrisa akina nusrati watoewe magereza usiku , hili shauri liatawaacha uchi NEC na Ofisi ya Bunge.
Mahakama sasahivi aina longolongo za ucheleweshaji wa hukumu subiri uone
Kwa sababu ya kina Halima?Hakiaminiki tena
acha kukomenti utumbo wewe , hunijui sikujui,sikubaliani kabisa na upuuzi wa watu kutumia kodi yangu nayolipa kinyume cha sheria na utaratiuIkusaidie nini? Je, wewe utapata huo ubunge? au dada yako ataupata? Waache wajivinjari mabinti wa watu
Unaumwa si bure! Sema wewe ni Chadema na kwa vile Lissu hawapendi ndiyo maana unapayuka ovyoacha kukomenti utumbo wewe , hunijui sikujui,sikubaliani kabisa na upuuzi wa watu kutumia kodi yangu nayoipa kinyume cha sheria na utaratiu
Sema tunasimama na Mdee, wewe peke yako una uwezo wa kumtoa mtu jela usiku halafu asubuhi awe mbunge?Nasimama na MDEE
Wewe naweChadema siyo chama cha kuaminiwa tena
Neke unazingeua sana au unataka kupegwa mashene kama yeyeNasimama na MDEE
Eti wanasemaje!!?Waliokuwa wanachama na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee na wenzake 18, tayari wamefungua shauri la kupinga kuvuliwa uanachama wa chama hicho.
Mdee na wenzake wamefungua shauri hilo siku 13 baada ya kupata kibali cha mahakama hiyo.
Mahakama hiyo imewaruhusu Mdee na wenzake kufungua shauri hilo Julai 8, 2022 baada ya kukubaliana na hoja zao katika maombi waliyokuwa wameyafungua wakiomba ridhaa hiyo.
Mawakili wa kina Mdee, Ipilinga Panya na Aliko Mwamanenge wameieleza Mwananchi Digital kwa nyakati tofauti kuwa walifungua shauri hilo jana Alhamisi Julai 21, 2022 na kwamba mpaka jioni lilikuwa limeshasajiliwa baada ya nyaraka walizoziwasilisha mahakamani hapo kufanyiwa ukaguzi na mahakama kujiridhisha kuwa zimekamilika na taratibu zimefuatwa kwa mujibu wa sheria.
Katika shauri hilo la maombi ya mapitio ya Mahakama, Mdee ambaye alikuwa mwenyekiti wa Baraza la Wanawache wa chama hicho (Bawacha) na wenzake wanapinga uamuzi wa kufukuzwa uanachama uliotolewa na Baraza Kuu la Chadema Mei 11, 2022.
Katika uamuzi huo, Baraza hilo lilitupilia mbali rufaa zao walizozikata wakipinga uamuzi wa awali wa kuwavua uanachama uliotolewa na Kamati Kuu ya Chadema Novemba 27, 2020. Badala yake Baraza hilo liliunga mkono uamuzi huo wa Kamati Kuu.
Kamati Kuu iliwavua uanachama baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kukubali na kwenda kuapishwa kuwa wabunge wa viti maalum bila ridhaa ya chama hicho.
Kufuati uamuzi huo walifungua maombi Mahakamani hapo wakiomba ridhaa ya kufungua shauri la kupinga uamuzi huo, pamoja na mambo mengine wakidai kuwa mchakato na uamuzi wa kuwavua uanachama haukufuata taratibu na misingi ya kisheria kwa kuwa hawakupewa haki ya kusikilizwa.
Mahakama ilikubaliana na maombi yao baada ya kuridhika kuwa walikuwa wamekidhi matakwa na vigezo vya kisheria kustahili kupewa ridhaa hiyo.
Baada ya kupata ridhaa hiyo walitakiwa kufungua shauri hilo ndani ya siku 14 kwa mujibu wa sheria, tangu tarehe ya uamuzi wa maombi ya ridhaa, ambazo zinaisha leo Julai 22, 2022.
Baada ya kukamilisha hatua hiyo, ya kufungua shauri hilo, sasa wanasubiri tatatibu nyingine za kimahakama ikiwa ni pamoja kupangiwa jopo la majaji watakaosiliza shauri lao hilo na tarehe ya kutajwa na Kisha tarehe ya usikilizwaji baada ya taratibu zote kukamilika.
Chanzo: Mwananchi
Wewe uwezo huo unao?Sema tunasimama na Mdee, wewe peke yako una uwezo wa kumtoa mtu jela usiku halafu asubuhi awe mbunge?
Unaataka kupigwa mashine?Neke unazingeua sana au unataka kupegwa mashene kama yeye
Kwani ni lini uliwahi kukiamini?Chadema siyo chama cha kuaminiwa tena
swali langu ni jee!! endapo mahakama itakubali na kuwazuia wasifukuzwe uanachama na watabaki kuwa wanachama.. vipi nafazo zao za uongozi wataziteteaje... je kwa chama CDM wanachama ambao ni wajumbe na viongozi katika mabaraza ya chama wasipoonekana kuhudhuria mijadala ya chama je chama kinapaswa kuchukua hatua gani tena nyingine?Waliokuwa wanachama na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee na wenzake 18, tayari wamefungua shauri la kupinga kuvuliwa uanachama wa chama hicho.
Mdee na wenzake wamefungua shauri hilo siku 13 baada ya kupata kibali cha mahakama hiyo.
Mahakama hiyo imewaruhusu Mdee na wenzake kufungua shauri hilo Julai 8, 2022 baada ya kukubaliana na hoja zao katika maombi waliyokuwa wameyafungua wakiomba ridhaa hiyo.
Mawakili wa kina Mdee, Ipilinga Panya na Aliko Mwamanenge wameieleza Mwananchi Digital kwa nyakati tofauti kuwa walifungua shauri hilo jana Alhamisi Julai 21, 2022 na kwamba mpaka jioni lilikuwa limeshasajiliwa baada ya nyaraka walizoziwasilisha mahakamani hapo kufanyiwa ukaguzi na mahakama kujiridhisha kuwa zimekamilika na taratibu zimefuatwa kwa mujibu wa sheria.
Katika shauri hilo la maombi ya mapitio ya Mahakama, Mdee ambaye alikuwa mwenyekiti wa Baraza la Wanawache wa chama hicho (Bawacha) na wenzake wanapinga uamuzi wa kufukuzwa uanachama uliotolewa na Baraza Kuu la Chadema Mei 11, 2022.
Katika uamuzi huo, Baraza hilo lilitupilia mbali rufaa zao walizozikata wakipinga uamuzi wa awali wa kuwavua uanachama uliotolewa na Kamati Kuu ya Chadema Novemba 27, 2020. Badala yake Baraza hilo liliunga mkono uamuzi huo wa Kamati Kuu.
Kamati Kuu iliwavua uanachama baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kukubali na kwenda kuapishwa kuwa wabunge wa viti maalum bila ridhaa ya chama hicho.
Kufuati uamuzi huo walifungua maombi Mahakamani hapo wakiomba ridhaa ya kufungua shauri la kupinga uamuzi huo, pamoja na mambo mengine wakidai kuwa mchakato na uamuzi wa kuwavua uanachama haukufuata taratibu na misingi ya kisheria kwa kuwa hawakupewa haki ya kusikilizwa.
Mahakama ilikubaliana na maombi yao baada ya kuridhika kuwa walikuwa wamekidhi matakwa na vigezo vya kisheria kustahili kupewa ridhaa hiyo.
Baada ya kupata ridhaa hiyo walitakiwa kufungua shauri hilo ndani ya siku 14 kwa mujibu wa sheria, tangu tarehe ya uamuzi wa maombi ya ridhaa, ambazo zinaisha leo Julai 22, 2022.
Baada ya kukamilisha hatua hiyo, ya kufungua shauri hilo, sasa wanasubiri tatatibu nyingine za kimahakama ikiwa ni pamoja kupangiwa jopo la majaji watakaosiliza shauri lao hilo na tarehe ya kutajwa na Kisha tarehe ya usikilizwaji baada ya taratibu zote kukamilika.
Chanzo: Mwananchi
1992Kwani ni lini uliwahi kukiamini?
Amandla...
Na wewe ni nani ambaye hutaki mahakama ifanye maamuzi mapema shauri hilo.Wewe ni nani? Acha makasiriko, hao wapo hadi 2025
Nakueleza hali halisi ilivyo. Wewe unaleta U Tundu Lissu. Hao unao hadi 2025Na wewe ni nani ambaye hutaki mahakama ifanye maamuzi mapema shauri hilo.
Inaonyesha huna akili kabisa " justice delayed justice denied.
Wewe nazani kichwani kwako kuna matope hakuna hata ubongo
Hao wanatapatapa shauri litaendeshwa haraka na maamuzi yatatolewa very soonNakueleza hali halisi ilivyo. Wewe unaleta U Tundu Lissu. Hao unao hadi 2025