Hatimaye Halima Mdee na Wenzake wafungua kesi ya Kupinga kuvuliwa uanachama Mahakama Kuu

Hatimaye Halima Mdee na Wenzake wafungua kesi ya Kupinga kuvuliwa uanachama Mahakama Kuu

Mimi sina shida na mahakama kufanya kazi na haki zao kutafuta haki hili halina mjadala, swali langu kwa kawaida kama mtu kafukuzwa kazi akaenda mahakamani akashinda kesi huwa analipwa na mishahara yote toka siku aliyoachishwa kazi sasa kwa hawa 19 najuwa wanendelea kupokea mishahara japo kinyume lakini ndio hali halisi je wakitokea kushindwa kesi kuwa walifukuzwa kihalali na hawakuwa na haki kuwa bungeni je watabidi warudishe kila walichopokea toka siku ile waliyofukuzwa?
 
Waliokuwa wanachama na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee na wenzake 18, tayari wamefungua shauri la kupinga kuvuliwa uanachama wa chama hicho.

Mdee na wenzake wamefungua shauri hilo siku 13 baada ya kupata kibali cha mahakama hiyo.

Mahakama hiyo imewaruhusu Mdee na wenzake kufungua shauri hilo Julai 8, 2022 baada ya kukubaliana na hoja zao katika maombi waliyokuwa wameyafungua wakiomba ridhaa hiyo.

Mawakili wa kina Mdee, Ipilinga Panya na Aliko Mwamanenge wameieleza Mwananchi Digital kwa nyakati tofauti kuwa walifungua shauri hilo jana Alhamisi Julai 21, 2022 na kwamba mpaka jioni lilikuwa limeshasajiliwa baada ya nyaraka walizoziwasilisha mahakamani hapo kufanyiwa ukaguzi na mahakama kujiridhisha kuwa zimekamilika na taratibu zimefuatwa kwa mujibu wa sheria.

Katika shauri hilo la maombi ya mapitio ya Mahakama, Mdee ambaye alikuwa mwenyekiti wa Baraza la Wanawache wa chama hicho (Bawacha) na wenzake wanapinga uamuzi wa kufukuzwa uanachama uliotolewa na Baraza Kuu la Chadema Mei 11, 2022.

Katika uamuzi huo, Baraza hilo lilitupilia mbali rufaa zao walizozikata wakipinga uamuzi wa awali wa kuwavua uanachama uliotolewa na Kamati Kuu ya Chadema Novemba 27, 2020. Badala yake Baraza hilo liliunga mkono uamuzi huo wa Kamati Kuu.

Kamati Kuu iliwavua uanachama baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kukubali na kwenda kuapishwa kuwa wabunge wa viti maalum bila ridhaa ya chama hicho.

Kufuati uamuzi huo walifungua maombi Mahakamani hapo wakiomba ridhaa ya kufungua shauri la kupinga uamuzi huo, pamoja na mambo mengine wakidai kuwa mchakato na uamuzi wa kuwavua uanachama haukufuata taratibu na misingi ya kisheria kwa kuwa hawakupewa haki ya kusikilizwa.

Mahakama ilikubaliana na maombi yao baada ya kuridhika kuwa walikuwa wamekidhi matakwa na vigezo vya kisheria kustahili kupewa ridhaa hiyo.

Baada ya kupata ridhaa hiyo walitakiwa kufungua shauri hilo ndani ya siku 14 kwa mujibu wa sheria, tangu tarehe ya uamuzi wa maombi ya ridhaa, ambazo zinaisha leo Julai 22, 2022.

Baada ya kukamilisha hatua hiyo, ya kufungua shauri hilo, sasa wanasubiri tatatibu nyingine za kimahakama ikiwa ni pamoja kupangiwa jopo la majaji watakaosiliza shauri lao hilo na tarehe ya kutajwa na Kisha tarehe ya usikilizwaji baada ya taratibu zote kukamilika.

Chanzo: Mwananchi
Hii kesi wataihangaikia hangaikia hadi ifike mwishoni tu wa mwisho wa mwaka 2024 basi wakishindwa watatafuta namna kupitia chama kingine wakishinda hawatarudi kugombea kupitia chama cha Chadema. Mkate wa bwana nitaupigania kwa nguvu zangu zote.
Amini.....
 
Waliokuwa wanachama na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee na wenzake 18, tayari wamefungua shauri la kupinga kuvuliwa uanachama wa chama hicho.

Mdee na wenzake wamefungua shauri hilo siku 13 baada ya kupata kibali cha mahakama hiyo.

Mahakama hiyo imewaruhusu Mdee na wenzake kufungua shauri hilo Julai 8, 2022 baada ya kukubaliana na hoja zao katika maombi waliyokuwa wameyafungua wakiomba ridhaa hiyo.

Mawakili wa kina Mdee, Ipilinga Panya na Aliko Mwamanenge wameieleza Mwananchi Digital kwa nyakati tofauti kuwa walifungua shauri hilo jana Alhamisi Julai 21, 2022 na kwamba mpaka jioni lilikuwa limeshasajiliwa baada ya nyaraka walizoziwasilisha mahakamani hapo kufanyiwa ukaguzi na mahakama kujiridhisha kuwa zimekamilika na taratibu zimefuatwa kwa mujibu wa sheria.

Katika shauri hilo la maombi ya mapitio ya Mahakama, Mdee ambaye alikuwa mwenyekiti wa Baraza la Wanawache wa chama hicho (Bawacha) na wenzake wanapinga uamuzi wa kufukuzwa uanachama uliotolewa na Baraza Kuu la Chadema Mei 11, 2022.

Katika uamuzi huo, Baraza hilo lilitupilia mbali rufaa zao walizozikata wakipinga uamuzi wa awali wa kuwavua uanachama uliotolewa na Kamati Kuu ya Chadema Novemba 27, 2020. Badala yake Baraza hilo liliunga mkono uamuzi huo wa Kamati Kuu.

Kamati Kuu iliwavua uanachama baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kukubali na kwenda kuapishwa kuwa wabunge wa viti maalum bila ridhaa ya chama hicho.

Kufuati uamuzi huo walifungua maombi Mahakamani hapo wakiomba ridhaa ya kufungua shauri la kupinga uamuzi huo, pamoja na mambo mengine wakidai kuwa mchakato na uamuzi wa kuwavua uanachama haukufuata taratibu na misingi ya kisheria kwa kuwa hawakupewa haki ya kusikilizwa.

Mahakama ilikubaliana na maombi yao baada ya kuridhika kuwa walikuwa wamekidhi matakwa na vigezo vya kisheria kustahili kupewa ridhaa hiyo.

Baada ya kupata ridhaa hiyo walitakiwa kufungua shauri hilo ndani ya siku 14 kwa mujibu wa sheria, tangu tarehe ya uamuzi wa maombi ya ridhaa, ambazo zinaisha leo Julai 22, 2022.

Baada ya kukamilisha hatua hiyo, ya kufungua shauri hilo, sasa wanasubiri tatatibu nyingine za kimahakama ikiwa ni pamoja kupangiwa jopo la majaji watakaosiliza shauri lao hilo na tarehe ya kutajwa na Kisha tarehe ya usikilizwaji baada ya taratibu zote kukamilika.

Chanzo: Mwananchi
Wenye akili TUMESTUKA,

Case hii ya mchongo haiwezi Isha kimahakama itategemea Matokeo ya Maridhiano.

Lisu amesema hata Hawa COVID-19 wakifurushwa Bado hawatapeleka au hawatateua wengine sababu Hawaitambui Serikali iliyoingia Kwa BAO la mkono 2020.

Nguvu yetu yote Kwa sasa tuhamishie kwenye;

Kushinikiza Judge Warioba ateuliwe na AAPISHWE kuwa mkt wa Tume amalizie KAZI aliyoanza.

RASIMU alosimamia Judge Warioba irudi mezani mjadala uanzie hapo.

Hatimaye tupate KATIBA mpya itakayopunguza mamlaka makubwa ya Rais yanayoweza mtoa mtuhumiwa gerezani usiku na Kuapishwa Ubunge wakati Bado document zikisoma ni mfungwa.
 
Waliokuwa wanachama na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee na wenzake 18, tayari wamefungua shauri la kupinga kuvuliwa uanachama wa chama hicho.

Mdee na wenzake wamefungua shauri hilo siku 13 baada ya kupata kibali cha mahakama hiyo.

Mahakama hiyo imewaruhusu Mdee na wenzake kufungua shauri hilo Julai 8, 2022 baada ya kukubaliana na hoja zao katika maombi waliyokuwa wameyafungua wakiomba ridhaa hiyo.

Mawakili wa kina Mdee, Ipilinga Panya na Aliko Mwamanenge wameieleza Mwananchi Digital kwa nyakati tofauti kuwa walifungua shauri hilo jana Alhamisi Julai 21, 2022 na kwamba mpaka jioni lilikuwa limeshasajiliwa baada ya nyaraka walizoziwasilisha mahakamani hapo kufanyiwa ukaguzi na mahakama kujiridhisha kuwa zimekamilika na taratibu zimefuatwa kwa mujibu wa sheria.

Katika shauri hilo la maombi ya mapitio ya Mahakama, Mdee ambaye alikuwa mwenyekiti wa Baraza la Wanawache wa chama hicho (Bawacha) na wenzake wanapinga uamuzi wa kufukuzwa uanachama uliotolewa na Baraza Kuu la Chadema Mei 11, 2022.

Katika uamuzi huo, Baraza hilo lilitupilia mbali rufaa zao walizozikata wakipinga uamuzi wa awali wa kuwavua uanachama uliotolewa na Kamati Kuu ya Chadema Novemba 27, 2020. Badala yake Baraza hilo liliunga mkono uamuzi huo wa Kamati Kuu.

Kamati Kuu iliwavua uanachama baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kukubali na kwenda kuapishwa kuwa wabunge wa viti maalum bila ridhaa ya chama hicho.

Kufuati uamuzi huo walifungua maombi Mahakamani hapo wakiomba ridhaa ya kufungua shauri la kupinga uamuzi huo, pamoja na mambo mengine wakidai kuwa mchakato na uamuzi wa kuwavua uanachama haukufuata taratibu na misingi ya kisheria kwa kuwa hawakupewa haki ya kusikilizwa.

Mahakama ilikubaliana na maombi yao baada ya kuridhika kuwa walikuwa wamekidhi matakwa na vigezo vya kisheria kustahili kupewa ridhaa hiyo.

Baada ya kupata ridhaa hiyo walitakiwa kufungua shauri hilo ndani ya siku 14 kwa mujibu wa sheria, tangu tarehe ya uamuzi wa maombi ya ridhaa, ambazo zinaisha leo Julai 22, 2022.

Baada ya kukamilisha hatua hiyo, ya kufungua shauri hilo, sasa wanasubiri tatatibu nyingine za kimahakama ikiwa ni pamoja kupangiwa jopo la majaji watakaosiliza shauri lao hilo na tarehe ya kutajwa na Kisha tarehe ya usikilizwaji baada ya taratibu zote kukamilika.

Chanzo: Mwananchi
Tukutane mahakamani wataimba wimbo usio na korasi ntakapo wapa za uso
 
Waliokuwa wanachama na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee na wenzake 18, tayari wamefungua shauri la kupinga kuvuliwa uanachama wa chama hicho.

Mdee na wenzake wamefungua shauri hilo siku 13 baada ya kupata kibali cha mahakama hiyo.

Mahakama hiyo imewaruhusu Mdee na wenzake kufungua shauri hilo Julai 8, 2022 baada ya kukubaliana na hoja zao katika maombi waliyokuwa wameyafungua wakiomba ridhaa hiyo.

Mawakili wa kina Mdee, Ipilinga Panya na Aliko Mwamanenge wameieleza Mwananchi Digital kwa nyakati tofauti kuwa walifungua shauri hilo jana Alhamisi Julai 21, 2022 na kwamba mpaka jioni lilikuwa limeshasajiliwa baada ya nyaraka walizoziwasilisha mahakamani hapo kufanyiwa ukaguzi na mahakama kujiridhisha kuwa zimekamilika na taratibu zimefuatwa kwa mujibu wa sheria.

Katika shauri hilo la maombi ya mapitio ya Mahakama, Mdee ambaye alikuwa mwenyekiti wa Baraza la Wanawache wa chama hicho (Bawacha) na wenzake wanapinga uamuzi wa kufukuzwa uanachama uliotolewa na Baraza Kuu la Chadema Mei 11, 2022.

Katika uamuzi huo, Baraza hilo lilitupilia mbali rufaa zao walizozikata wakipinga uamuzi wa awali wa kuwavua uanachama uliotolewa na Kamati Kuu ya Chadema Novemba 27, 2020. Badala yake Baraza hilo liliunga mkono uamuzi huo wa Kamati Kuu.

Kamati Kuu iliwavua uanachama baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kukubali na kwenda kuapishwa kuwa wabunge wa viti maalum bila ridhaa ya chama hicho.

Kufuati uamuzi huo walifungua maombi Mahakamani hapo wakiomba ridhaa ya kufungua shauri la kupinga uamuzi huo, pamoja na mambo mengine wakidai kuwa mchakato na uamuzi wa kuwavua uanachama haukufuata taratibu na misingi ya kisheria kwa kuwa hawakupewa haki ya kusikilizwa.

Mahakama ilikubaliana na maombi yao baada ya kuridhika kuwa walikuwa wamekidhi matakwa na vigezo vya kisheria kustahili kupewa ridhaa hiyo.

Baada ya kupata ridhaa hiyo walitakiwa kufungua shauri hilo ndani ya siku 14 kwa mujibu wa sheria, tangu tarehe ya uamuzi wa maombi ya ridhaa, ambazo zinaisha leo Julai 22, 2022.

Baada ya kukamilisha hatua hiyo, ya kufungua shauri hilo, sasa wanasubiri tatatibu nyingine za kimahakama ikiwa ni pamoja kupangiwa jopo la majaji watakaosiliza shauri lao hilo na tarehe ya kutajwa na Kisha tarehe ya usikilizwaji baada ya taratibu zote kukamilika.

Chanzo: Mwananchi
SAFI SANA TUJUE MBIVU NA MBICHI HASA NA YULE ALIYETOLEWA GEREZANI USIKU NA KWENDA KUAPISHWA
 
Back
Top Bottom