Hatimaye Hamisa Mobetto akubali ile voice note na mganga ni sauti yake

Kwahiyo mashekhe wanaombea kwa pesa...... duhhh kazi ipo kwakweli, uongo mwingine watumiage akili kidogo basi
 
Kwahiyo mashekhe wanaombea kwa pesa...... duhhh kazi ipo kwakweli, uongo mwingine watumiage akili kidogo basi
Na kondoo pia....
Nakumbuka kisauti chake "yule mwanaume anakuja anaenda anakuja anaenda" teh diamond bana!!!!
 
Nakazia........
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Siku kakipigwa miti kanaanza jeuri snap..
Pussy soo good, mtoto kama chumvi aliponionja akaomba poo ha ha ha

Hiyo hiyo miaka kumi yupo benchi, akaja wema akajulikana, akaja penny akajulikana, wakapita wa kupita, akaja zari hadi akazaa ye yupo benchi tu, anastahili tuzo side chick of the century.
 
Yaaani Mungu azidi kutusaidia.....
 
Hizi team zinawaingizia pesa hao wadangaji,mana kumchafua mtu kwa uhamiaji kua kabeba drug unapata nini?halafu unakuta hao team hali zao mbaya kiuchumi uwezo wao ni kununua bundle tu
 
Shkamoooo[emoji124][emoji124][emoji124]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…