Hatimaye Hamisa Mobetto akubali ile voice note na mganga ni sauti yake

Hata bibi kidude alshawahi kuwa na miaka 23, nyie jidanganyeni tu.
 
Dhambi kivipi? Mi sijamlinganisha nimewasaidia nyie shabiki zake mnaomlinganisha, make kumlinganisha zari na hamisa ni sawa na kulinganisha kokoto na mlima, hamisa kazidiwa kuanzia maendeleo hadi kutumia filters ha ha ha
Boss wenu alikamatwa huko kisa kufake umri kawa mdogooo kama panya kwenye maji[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]!!!!

Hamu imeuisha kuzaliwa 1975 akasema kazaliwa1980 Mungu anamuona...

Halafu huyo Zari mnafagilia ninyi wabongo tu wenye chuki na hamisaa...na watanzania wenzenu ila hana lolote zilipendwa
Kumlinganisha ni ngumu..

Zari ana uwezo wa kulingana na Hamisa..maana ana uwezo wa kumzaaa huku kasimama

Zari ni Bito Hamisa ni Range Rover weeeeweee...ukubali katae

Rudi nyumbani kumenogaaaa
 
Evelyn umenifanya nicheke kwa sauti kubwa mnoo haswaa hapo " alipoanza ku date akiwa na miaka 13... Raynavero sijui yuko wapi leo
Thread ya Zari kukamatwa wameifuta hawa mods sijui wanalipwa halafu team Zari sijui wanaumwa nnyaa mabingwa wa kuripoti ila nyuzi zifutwee..

Mods uliefuta Uzi huendi mbingunii...[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji19] !!!!
Hamisa ana miaka 24..huo ndo ukweli kazaliwa 1994...!!!

Nilikua na majukumu kakaa...mmerudi hawa team tukinao wana husda sanaaaaa!!(Uzuri mi na Eva tofauti kwa zari na Hamisa tuuu baasi kungine no problems)
Kuna majinga ugomvi huu wanauleta hadi kungine....
 
hahaa",eve hanaga nouma", hao wengine wapotezee tu" wasije kukukausha Uzazi"....
 
Jaman jaman
Hebu tuwe serious kdg
Hamisa ana miaka 23??????
Bx anachika mapema sana
 
Japokuwa umeandika ila moyoni unajua kuwa Zari ni noma, kimwonekano,pesa,akiri,heshima, huwezi mlinganisha na yule mchawi hamisa me ni mtanzania ila Zari ni nomaaaaaa
 
Haaaaaaa leo imekuwa 26 na sio 23 yule dada ni mchawi, mwanga, mchafu tena shetani mkubwa ata umsafishe vipi yule dada ashachafuka, jiulze why watz wengi hawampendi......
 

Hapo kwenye red please madame nakuomba unywe chai sina cha kujibu ila tu naomba unywe chai😀

BTW umeona clip zilizounganishwa Hamisa anaongea kuhusu ndoa
Clip ya 1 "Mimi ni mmoja kati ya watu wasioamini ndoa, ndo maana watoto wangu nimewazaa nje ndoa"

Clip 2 akiongea na le mgangaz "Nataka ndoa nataka nyumba nataka mtoto akubalike"
Ha ha ha chezea sizitaki mbichi hizi ndoa ataishia kuiona kwenye page za instagram
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…