Hatimaye Harmonize ajibu tuhuma zinazomuandama za kumtongoza na kumtumia picha za utupu Paula

Mmakonde alitaka kula kuku na yai lake.

Mmanyema akachomoa betri[emoji28]

Sema, hamornize sio wa kulaumiwa.

Inawezekana katoto kalionyesha dalili, akajua nikigusa TU imo.

Kumbe,
Mpenz wake Paula (rayvanny) ametrack mawasiliano ya Dem wake.

Akaiwasilisha kwa mama mkwe, kwa ushahidi usioacha ata punje ya mashaka.
 
Mbona ameshakula wote alianza na mtoto
 
WCB wanamchezesha sindimba mmakonde na yeye alivyo mjinga anakubali , wanamtoa kwenye ratiba zake bila yeye kujua , imagine Ibra ametoa wimbo Safi kabisa , kondeboy alikuwa anampush vyema , ametoa na anjela wimbo ndo sakata linaibuka , ghafla bin vuu anapiga chin kumsupport Angela , anaanza kukimbizana nao tena , kaachia wimbo mwingine VIBAYA, huku WCB mambo Yao yanaenda kama yalivyopangwa
 
Maisha bana

Ila ray kaumia sana kugundua mmakonde alipita na paula kitambo kabla ya juzi kutoka na mama yake...
 
Na unaweza kushangaa Paula ndo akaja kufanikiwa kuliko huyo mwandishi wa makaratasi ..... Mungu bhana [emoji23] haelewekagi ......!!!
Masihara haya mdau sio bongo hii ingekua mbele huko sawa

Only kim alitoboa kupitia kashfa ya ngono
 
ngoja tuone mwisho wake, ila kwa yeyote anayetumia akili hili zengwe limeundwa/engineered by WASAFI..itakua kama East and West coasts groups wanavyochukiana mpaka kuuana.....upuuzi mtupu mnaoufanya wasafi clasic baby.....
 
ngoja tuone mwisho wake, ila kwa yeyote anayetumia akili hili zengwe limeundwa/engineered by WASAFI..itakua kama East and West groups wanavyochukiana mpaka kuuana.....upuuzi mtupu mnaoufanya wasafi clasic baby.....
Hyo baby ulivyoitaja 😂 nimevuta pumzi mpak kwenye unyayo😀 (Wasafi classic beibeeee) wababe wa bifu mjini , washafight na akina Davido huko.... Na Kwa taarifa Tu mtu wako kuna video yake ya ngono live live ipo kwenye galley pale next level music ....inasubiririwa perfect time to strike....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…