Hatimaye Harmonize ajibu tuhuma zinazomuandama za kumtongoza na kumtumia picha za utupu Paula

Hatimaye Harmonize ajibu tuhuma zinazomuandama za kumtongoza na kumtumia picha za utupu Paula

Sasa hapa hamo ndio umeharibu kila kitu, ulitakiwa ukae kimya uendelee na mambo yako kwa hili umebugi.
Hata mimi naona kabugi yani naona ni sawa kakubali kuwa tuhuma ni za kweli ndiyo maana kujitetea kashindwa. Dawa angepiga kimya
 
Yaani mi mtu akiandika kwa herufi kubwa, naonaga kama wale matapeli wa ile hela tuma kwenye namba hii jina litakuja Paula Kajala au wale wa Karibu jiunge na 666 Friimasoni.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Si watoe tamthiliya tu...

Maana Sarah kuachana na Harmonize...ulikuwa mpango wa WCB tokea enzi za Mwarabu...

Kajala kuwa na Harmonize...nao ni mpango wa WCB kumbomoa kijana wa Chitoholi...Kwa wanaomjua Kajala toka akisumbua enzi yupo primary Mbuyuni na mitaa yote ya O'bay kota, yule Mmakonde sio type yake kabisaaaaa
Kajala wa sasa ni type type ya nani!!?? Huyu bibi ni wa kuchagua mtu wa kuwa naye!!!!????
 
Mmakonde alitaka kula kuku na yai lake.

Mmanyema akachomoa betri[emoji28]

Sema, hamornize sio wa kulaumiwa.

Inawezekana katoto kalionyesha dalili, akajua nikigusa TU imo.

Kumbe,
Mpenz wake Paula (rayvanny) ametrack mawasiliano ya Dem wake.

Akaiwasilisha kwa mama mkwe, kwa ushahidi usioacha ata punje ya mashaka.
Sio alitaka Kesha kula kuku na mayai kitambo

Wewe unaelewa Nini kuhusu hii comment
Eyw9UXZXIAcuVLI.jpg
 
Group zima wanapambana na Harmo...nyimbo ya Vibaya nzuri sana, melody maneno na kila kitu kiko safi.
Yeah Ngoma Kali Sana ile , Jamaa wanazidi kumpa mileage bila kujua , The way wanavyo mu- attack na kumuongezea ndio jinsi ambavyo watu Wanataka kujua zaidi yanayo endelea baina Yao [emoji16]

Nimesikia wimbo wa rayvanny aisee Ni [emoji706][emoji706][emoji706]
 
Si watoe tamthiliya tu...

Maana Sarah kuachana na Harmonize...ulikuwa mpango wa WCB tokea enzi za Mwarabu...

Kajala kuwa na Harmonize...nao ni mpango wa WCB kumbomoa kijana wa Chitoholi...Kwa wanaomjua Kajala toka akisumbua enzi yupo primary Mbuyuni na mitaa yote ya O'bay kota, yule Mmakonde sio type yake kabisaaaaa
Yeah hata Mange kamueleza hivyo pia , na kamwambia kuwa kajala alikuwa ameshasahaulika Mjini ila mahusiano yao ndio yamemfanya watu kumkumbuka , so kajala alikuwa ana tembelea nyota yake tu , kamshauri arudiane na mkewe Sarah
 
Kajala wa sasa ni type type ya nani!!?? Huyu bibi ni wa kuchagua mtu wa kuwa naye!!!!????
Anamaanisha kwamba Ni kunguru hafugiki sio wakuwa nae katika mahusiano ya muda mrefu
 
Kajala wa sasa ni type type ya nani!!?? Huyu bibi ni wa kuchagua mtu wa kuwa naye!!!!????
Kajaler ni malayer mstaarabu long time kitambo tokea miaka hiyo 94, 95 yaani kakiwa kakinda kabisa kale ka kutumwa mafuta ya taa dukani na wakware walikuwa wanatolewa udenda na ule mshundundu (kaanza kuwa na mkia toka mdogo mdogo)...

Type yake si malimbukeni wa kuanza kufanya show offs naye as if mwanaume umepatana na Cleopatra, wakati mdada kaanza kuchezea koki hata sekondari hajafika...
 
Na unaweza kushangaa Paula ndo akaja kufanikiwa kuliko huyo mwandishi wa makaratasi ..... Mungu bhana 😂 haelewekagi ......!!!
Kwa hiyo wanataka kila mtoto aandike vitabu. Namjua kusudi la mungu kutuumba tofauti.
 
Ameandika kitabu kwa experience ipi!!???
labda kama ni hadithi za watoto au kaandikiwa.
mtu anayeandika kitabu anazungumzia yale aliyoyaona,aliyoyapitia aliyoyaishi...
mabaya kwa mazuri......
Mtoto anaandika kitabu chenye title, change your life, wakati yeye hajui hata life ni nini zaidi, ya kuamshwa, kunywa uji na kwenda na kurudi shule na kuangalia cartoon.

Maigizo na usanii hautaisha bongo.
Mastaa wanataka watoto wao wawe mastaa na wanaojulikana.
Magufuli nilimpendea hicho tu, watoto wake hawakuwa sehemu ya hizo comedy za mitandaoni.

Everyday is Saturday................................😎
 
Ameandika kitabu kwa experience ipi!!???
labda kama ni hadithi za watoto au kaandikiwa.
mtu anayeandika kitabu anazungumzia yale aliyoyaona,aliyoyapitia aliyoyaishi...
mabaya kwa mazuri......
umesema Ukweli, yule Zamarad anatuchota akili sisi. Sema simshangai ni mpenda sifa na majivuno kiana
 
Mtoto anaandika kitabu chenye title, change your life, wakati yeye hajui hata life ni nini zaidi, ya kuamshwa, kunywa uji na kwenda na kurudi shule na kuangalia cartoon.

Maigizo na usanii hautaisha bongo.
Mastaa wanataka watoto wao wawe mastaa na wanaojulikana.
Magufuli nilimpendea hicho tu, watoto wake hawakuwa sehemu ya hizo comedy za mitandaoni.

Everyday is Saturday................................😎
Si wanataka kutuaminisha mtoto ni kichwa kama babake rip..haha.
 
Back
Top Bottom