Hatimaye Hersi Said alewa madaraka

Hatimaye Hersi Said alewa madaraka

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Timu inayotokea Tanganyika unataka mechi yao ipelekwe Nchi nyingine ili kuzuia mashabiki wa mikoa mingine kuhudhuria kwa faida ya nani?

Screenshot_2024-08-24-21-33-50-1.png
 
Sababu za huo ujinga ni zipi? Halafu uliona wapi Timu za Tanganyika zikachezea michuano ya CAF nchini Zanzibar, kwa lipi?
Acha kukariri, mara ngapi timu hubadilisha viwanja tena ambavyo vipo nchi nyinginezo, mfano timu kutoka sudan, Ethiopia, libya, na kadhalika
 
Back
Top Bottom