Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Swali la kijingaZanzibar ni Afghanistan?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali la kijingaZanzibar ni Afghanistan?
Hahhh huyu jamaa mpira hajui abaki na chadema yakeMbona haushangai timu za nje kutumia uwanja wa Azam FC kuwa uwanja wao wa nyumbani?
Hii pia liangaliwe maana wao enyew tm yao imeishia uko kuwapa wanaume point ala tm ya bara ikacheze kwao dah nyie chura mna wengeMichuano ya Caf ni ya Muungano?
Uwanja wa Mkapa hautumiki kwenye mpira Ila unatumika mashindano ya quraan hapo ndio utaona Mzee Magoma yupo sahihi.Nadhani shida kubwa ni kutokana na uwanja wa Mkapa kutoruhusiwa kutumika kwasasa ndio maana wameomba uwanja wa Amani badala ya wa Azam complex
Tz wajinga hawawezi kuisha, suala la mpira sio suala la muungno eboo!!, Zanzibar wana uwakilishi wao CAF. Ni ajabu na upuuzi wa kiwango Cha juu!. Na nikudharau mashabiki na wanachama.Sioni tatizo lolote. Yanga ni timu ya Tanzania, Unguja ni sehemu ya Tanzania. Ni sawa na kupeleka mechi Kirumba Mwanza tu
Bila sababu za kutokizi vigezo?, hizi akili mnazitoaga wapi maana ni uchafu kabisa.Acha kukariri, mara ngapi timu hubadilisha viwanja tena ambavyo vipo nchi nyinginezo, mfano timu kutoka sudan, Ethiopia, libya, na kadhalika
Sababu zao zinafanana na zetu?Mbona haushangai timu za nje kutumia uwanja wa Azam FC kuwa uwanja wao wa nyumbani?
Huwa wana changamoto kwenye nchi zao, je, wewe Yanga una changamoto gani?Acha kukariri, mara ngapi timu hubadilisha viwanja tena ambavyo vipo nchi nyinginezo, mfano timu kutoka sudan, Ethiopia, libya, na kadhalika
Hapo huyo kiongozi anakuww ni tahira!, yaani utoe mechi ambako ndiko Kuna fans base upeleke Kenya au uganda bila sababu?.vipi kama angesema wataomba iwe kenya ama uganda..?? Hoja ingekuwa nn
Kumbe na WWE ni mjinga hivi!! Dooh.Naunga mkono hoja
Kama wewe tu ukoo wenu woteKumbe na WWE ni mjinga hivi!! Dooh.
Kwanza huyu Hersi kwao ni wapi?Hapo huyo kiongozi anakuww ni tahira!, yaani utoe mechi ambako ndiko Kuna fans base upeleke Kenya au uganda bila sababu?.
Unataka ujuwe wewe kama naniHersi Said kwao wapi?
Kama Mtanganyika ambako ndio nyumbani kwa YangaUnataka ujuwe wewe kama nani
Hakuna taifa linaitwa Tanganyika shameKama Mtanganyika ambako ndio nyumbani kwa Yanga
bado swali lililoulizwa lingebakia hivyo hivyo , kwann nchi nyingine?vipi kama angesema wataomba iwe kenya ama uganda..?? Hoja ingekuwa nn