Hatimaye 'imevuja' rasmi Kujaa hadi 'Pomoni' vile kwa Mzee Mkapa 'Wapuuzi Day' kumbe ukikutwa nje unapewa Jezi ya 'Kubumba' na Kuingizwa bure!

Hatimaye 'imevuja' rasmi Kujaa hadi 'Pomoni' vile kwa Mzee Mkapa 'Wapuuzi Day' kumbe ukikutwa nje unapewa Jezi ya 'Kubumba' na Kuingizwa bure!

Kwa hiyo wale wa Arusha waliokataa kuingia bure mechi ya Mikia walipewa nini kwenda kwa TL?
 
We funguafungua tu nyuzi zako hizo utakaa uchi siku sio nyingi.
 
Kama ile nyomi wengi wao ni mashabiki wa Yanga waliotoka huko walikotoka hadi uwanja wa taifa, halafu wakashindwa kuingia uwanjani, Yanga wakawapa jezi na kuwaingiza,,,,
Kwa hilo, Yanga wanastahili pongezi nyingi kwa kuwajali mashabiki wake.
 
Suti za blue Raba nyeupe [emoji848][emoji848][emoji848]

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Cag kama nakuona unavyoteseka 😀
Screenshot_20200830-105236_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom