nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,806
- 5,347
Mimi ni mchepuko wa mama yako
Wewe ni mke Wa Genta!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mke Wa Genta!?
Niliweka Kwenye begiKwahyo shati yako au furana yako uliiacha wapi au ulipewa na kabati ili uihifadhi [emoji3][emoji3][emoji3]
Huyo fala asikupotezee muda.Kwa hiyo wale wa Arusha waliokataa kuingia bure mechi ya Mikia walipewa nini kwenda kwa TL?
Ss mbn wengi mule uwanjani hawakuwa na mabegi kwahyo wao waliweka wapi shati zao [emoji3][emoji3]Niliweka Kwenye begi
Tunawashukuru sana GSM na Eng. Hersi Said!View attachment 1554502
Yanga bhn jezi zake kali tuache masiharaView attachment 1554567View attachment 1554568View attachment 1554572
Uzi mkali balaaYanga bhn jezi zake kali tuache masiharaView attachment 1554567View attachment 1554568View attachment 1554572
Kweli wewe tako moko,yaani mtu atoke zake nyumbani akakae Taifa huku akijua hana tickets wala hela?
Jiandae utalipa tu.Mkuu genta umeongea ukweli kabsa, Mimi ni shabidi nilipewa jezi bure na kuingia bureee kabsaaa!
Pole sana kwa kuwa na hyo imani. Imani yako ilipoteza muda tu!Watu wengine nilijua wanaakili kumbe wapuuzi tu
Mnyero kama mnyero na wivu wenuUto kama uto
Pole sana ndio ishakuwa hivyo Daima Mbele Nyuma Mwiko. FUNDISHO LIMEWARUDIA! In Harmonize's voiceHata yikpeee alikuja hivyo hivyo na mkamshukuru.
Nyie hamtachukua ligi kuu mpaka mwanangu afikishe miaka 18.
Sasa hivi ana miezi 5
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Cag kama nakuona unavyoteseka 😀Suti za blue Raba nyeupe [emoji848][emoji848][emoji848]
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Pole sana ndio ishakuwa hivyo Daima Mbele Nyuma Mwiko. FUNDISHO LIMEWARUDIA! In Harmonize's voice
Cag kama nakuona unavyoteseka [emoji3]
View attachment 1555045