Hatimaye Jamii Forums imenipa mchumba

Hatimaye Jamii Forums imenipa mchumba

Unjani sabuwona

Wakuu kiukweli mimi ni mtu wa kushukuru katika maisha yangu Iwe neema kubwa kubwa au ndogo ndogo wakuu ninayo furaha kuwatangazia kuwa nimempata mchumba miss ...... Jina lake Linaanzia na A.

Wakuu after struggle ya almost 3 months mtoto namfuatilia bila matokeo yoyote yale but now nimemkamata miss A.

Nimemuahidi siwezi kumchezea mimi na yeye ni Pete na kidole. Muda wowote naenda kumtroduce nyumbani japo lakini zangu ndugu na jamaa wanamjua but haijawa officials.

Wakuu asiwaambie mtu humu ndani Kuna mawife material aiseee japo ana ufeminism sana ila ni mpambanaji sana.

Kwenye uchumba tu amekuja kunipikia nyumbani mara kwa mara,kunifulia mara kwa mara n.k japo yupo sana ila ananifanyia nione nimezaliwa upya .! Wakuu Mapenzi matamu sana.

Nawakaribisha wakuu wote kwenye tukio la kumvesha Pete my only and one ♥ wangu.

"Life is beautiful 😍 thing"
Usikute umekulazimisha kumuanzishia uzi,hivi wakuu wamuwezi kuwa makauzu kwenye mapenzi mpaka demu ahisi kama haumpendi na mara nyingine aone unampenda?
 
Unjani sabuwona

Wakuu kiukweli mimi ni mtu wa kushukuru katika maisha yangu Iwe neema kubwa kubwa au ndogo ndogo wakuu ninayo furaha kuwatangazia kuwa nimempata mchumba miss ...... Jina lake Linaanzia na A.

Wakuu after struggle ya almost 3 months mtoto namfuatilia bila matokeo yoyote yale but now nimemkamata miss A.

Nimemuahidi siwezi kumchezea mimi na yeye ni Pete na kidole. Muda wowote naenda kumtroduce nyumbani japo lakini zangu ndugu na jamaa wanamjua but haijawa officials.

Wakuu asiwaambie mtu humu ndani Kuna mawife material aiseee japo ana ufeminism sana ila ni mpambanaji sana.

Kwenye uchumba tu amekuja kunipikia nyumbani mara kwa mara,kunifulia mara kwa mara n.k japo yupo sana ila ananifanyia nione nimezaliwa upya .! Wakuu Mapenzi matamu sana.

Nawakaribisha wakuu wote kwenye tukio la kumvesha Pete my only and one ♥ wangu.

"Life is beautiful 😍 thing"
Hongera sana,ila subiri kwanza usije kulianzisha,maana hayo mambo ya kuja nyumbani kukufulia ndio shetani anapenda sana,sasa hivi utaanza kutoa visababu,yuko hivi,yuko vile.Hayo unatakiwa kuyajua ukishaoa...
 
Unjani sabuwona

Wakuu kiukweli mimi ni mtu wa kushukuru katika maisha yangu Iwe neema kubwa kubwa au ndogo ndogo wakuu ninayo furaha kuwatangazia kuwa nimempata mchumba miss ...... Jina lake Linaanzia na A.

Wakuu after struggle ya almost 3 months mtoto namfuatilia bila matokeo yoyote yale but now nimemkamata miss A.

Nimemuahidi siwezi kumchezea mimi na yeye ni Pete na kidole. Muda wowote naenda kumtroduce nyumbani japo lakini zangu ndugu na jamaa wanamjua but haijawa officials.

Wakuu asiwaambie mtu humu ndani Kuna mawife material aiseee japo ana ufeminism sana ila ni mpambanaji sana.

Kwenye uchumba tu amekuja kunipikia nyumbani mara kwa mara,kunifulia mara kwa mara n.k japo yupo sana ila ananifanyia nione nimezaliwa upya .! Wakuu Mapenzi matamu sana.

Nawakaribisha wakuu wote kwenye tukio la kumvesha Pete my only and one ♥ wangu.

"Life is beautiful 😍 thing"
We usije ukawa umemchukua Antonnia wangu! Nitaua mtu
 
Hongera bwana... nadhani itakua ulishamweka ndani dadaetu
 
Back
Top Bottom