Hatimaye jana uso kwa uso huyu Kicheche na cha moto kakipata

Hatimaye jana uso kwa uso huyu Kicheche na cha moto kakipata

Nilipoona kichwa cha uzi nilikuwa nimefikiria kitu tofauti. Haya bwana hongera kwa kupambana na lijicheche
 
Hongera mkuu kwa kumuua fisadi wa kitoewo.
Kweli aisei, mama kuku walikuwa waanzishe maandamano si kwa uonevu na majonzi wanayoyapata..!

Huyu mdudu ni katili mno, licha kwamba jana nilikuwa around aliuwa vifaranga wawili baada ya mama yao kuruka na kushindwa kumdaka, tena mmoja kuulia mbele yangu.
 
Nmependa narration yako ya hii story.. Haichoshi kuisoma... Jaribu kujifunza uandishi wa story fupi fupi.. Hasa za kuchekesha..!
Asante sana, ofkozi naweza..
 
Ndivyo alivyo sema ulimchanganya kumwashia hiyo taa!! Ni hatari
Ndiyo, maana mjanja hataree kabla ajazamia anachonga kwanza njia, ukifungua mlango wa banda la kuku huyo anatimua, ila jana nilikuja ghafla kikomandoo akapagawa mwanga wa ghafla afu ukazima aliona maajabu aisei akaamua kunidindia etii...!
 
Huhuhuh..! Bwege kweli wewe unaweza kumuua kicheche fisimaji mkubwa.
Povu la nini tena mkuu....[emoji12] [emoji12]
Yaani kicheche tu, ndioumekuja kuanzisha uzi.....[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Je ungeua hata fisi tu, siungefanya sherehe ya kujiona shujaa....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Back
Top Bottom