Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli aisei, mama kuku walikuwa waanzishe maandamano si kwa uonevu na majonzi wanayoyapata..!Hongera mkuu kwa kumuua fisadi wa kitoewo.
Ndivyo alivyo sema ulimchanganya kumwashia hiyo taa!! Ni hatariDuuh! Unanitisha mkuu.
Ndiyo, maana mjanja hataree kabla ajazamia anachonga kwanza njia, ukifungua mlango wa banda la kuku huyo anatimua, ila jana nilikuja ghafla kikomandoo akapagawa mwanga wa ghafla afu ukazima aliona maajabu aisei akaamua kunidindia etii...!Ndivyo alivyo sema ulimchanganya kumwashia hiyo taa!! Ni hatari
[emoji85] [emoji23] [emoji12]Eti mamba labda kamongo..!
stori inachekesha sana, umeileta vema mkuu, hasa pale ulimpompiga buti kicheche akatoa mlioMkuu mbona kicheko boss!
Povu la nini tena mkuu....[emoji12] [emoji12]Huhuhuh..! Bwege kweli wewe unaweza kumuua kicheche fisimaji mkubwa.
kweli, watu wa mkoan wanakulaMmhh! Yaukweli hayo?? Anakijaarufu fulani kibaya mno aisei..
Iringa niliona anawindwa kabisa awe kitoweoMmhh! Yaukweli hayo?? Anakijaarufu fulani kibaya mno aisei..