Hatimaye jana uso kwa uso huyu Kicheche na cha moto kakipata

Hatimaye jana uso kwa uso huyu Kicheche na cha moto kakipata

Hongera umepata nyama pori ila mambo kama haya wanaume wa Dar,mnawapta point tatu nzima wanaume wa mikoani,yaani kicheche anakutisha hadi unamuita mshikaji wako akusaidie! Chaaa,eti vita ilikuwa kali! Wewe ,na kicheche? Sisi huku dogo tu wa shule ya msingi anapambana na simba dume,Khaaa!
Atasema umemtukana....[emoji23] [emoji23]
 
Dogo Janja naye kawapora mwanamke,wema naye anawadharaulisha kila siku,yaani wanaboa sana hawa jamaa
 
nilidhani ni mwanamke nilishakuandalia matusi.
Adui yako mwombee njaa..! Nakupenda sana si kwasababu ya chochote zaidi ya kuwa adui wangu kwa upande wako..!


Mathayo 5:43-48

[43]Mmesikia kwamba imenenwa, Umpende jirani yako, na, Umchukie adui yako;
[44]lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,
[45]ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.
[46]Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi mwapata thawabu gani? Hata watoza ushuru, je! Nao hawafanyi yayo hayo?
[47]Tena mkiwaamkia ndugu zenu tu, mnatenda tendo gani la ziada? Hata watu wa mataifa, je! Nao hawafanyi kama hayo?
[48]Basi ninyi mtakuwa wakamilifu, kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.

nilidhani ni mwanamke nilishakuandalia matusi.
Adui yako mwombee njaa..! Nakupenda sana si kwasababu ya chochote zaidi ya kuwa adui wangu kwa upande wako..!
 
Hawa wadudu ni nyokolist,wakiishawahi laza banda la kuku 60 wa kienyeji home.

Anakamata shingo ananyonya damu,anaacha kuku akigalagala hapo,siku yake ilifika akakutana na mtu anayejulikana mwenye kuku zake,halafu ni mkali ukifanya mzaha anakupa kilema.
 
Huyu kicheche hatari sana atakua anapenda kula migebuka pia; aina ya hawa vicheche wengi wanapatikana kule mwisho wa reli; Kigoma.
Ila afadhali umejitahidi umemuua maana hao watoto wataogopa hawatarudi tena.Vicheche hatari.
Mkuu kweli unawatambua vyema, maana hapa home kweli migebuka imejaa kwa firiji, tunaletewa kutoka kigoma na dagaa wa kigoma wamejaa kweli.
 
eti kumrushia kicheche teke na yeye akajikojolea kwa woga ahaaa
Mbaya zaidi eti anasema "vita ilikua kali sana"....... hahaahaaaaa, kweli nimecheka sana baada ya kutumia akili nyingi na kusoma kwa makini.... kumbe upupumtupu
 
Back
Top Bottom