Nairobi hatuongozwi na misingi ya ukabila, ni mji mkubwa zaidi ya yote ukanda wa EAC na kati na una watu wa matabaka mbali mbali wakiwemo Watanzania.
Sonko asili yake Ukambani, Miguna ametokea Ujaluoni na Shebesh ana asili ya Kikikuyu.
Wakenya nawaaminia,hamna mchezo ktk masuala ya maslahi ya Taifa ndio maana mmeendelea.
Vijana bado wapo mkuu,wanachapa kazi na maisha yanaendelea kana kwamba hakuna kilichotokea.
Tanzania hii isikieni tu,ni nchi ya hovyo sana.
Lakini Nairobi si ni ya Wakikuyu, si iko central Kenya? Au???
Nairobi hatuongozwi na misingi ya ukabila, ni mji mkubwa zaidi ya yote ukanda wa EAC na kati na una watu wa matabaka mbali mbali wakiwemo Watanzania.
Sonko asili yake Ukambani, Miguna ametokea Ujaluoni na Shebesh ana asili ya Kikikuyu.
Nairobi iko Nairobi. Central ilikuwa Jimbo kivyake (Kabla ya katiba ya 2010.) Hivi sasa, hakuna kitu kama "Central"Lakini Nairobi si ni ya Wakikuyu, si iko central Kenya? Au???
Yule jamaa atakuwa mbongo yule,dah!Namkubari sana huyu sonko.pongezi kwake.
sijui kwanini,kila nikimtazama,nahisi ana kama vichembe vichembe vya utz ndani yake.
namfananisha na vijana wa kitz waliofanikiwa kifedha baada ya kusota sana.
umeonaeeee....mjanja mjanja kama wale vijana maarufu wa town wanaopaki Magari yao pale kinondoni vijana.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yule jamaa atakuwa mbongo yule,dah!
Kaka mbona unajibu hata usichoukizwa?, mi nilitaka kujua makabila ya hao wagombea tu kaka, yupi hapo ni wa NASA?
Acha kuongea ujinga kaka.sio vitu vya kuombea hivi.tofauti zetu za kwenye mitandao na wakenya,zisifanye tuwaombee mabaya.Natamani vita itokee Kenya, ili wamwage damu angalau mwaka huuu
Nairobi ipo Central??? Nafikiri kufikia hapo umedhihirisha mambo ya Kenya huwa unakaririshwa vijiweni.
Aache zipi mkuu?Acha hizo wewe!
Ni kweli kabisa.Wakenya nawaaminia,hamna mchezo ktk masuala ya maslahi ya Taifa ndio maana mmeendelea.
Vijana bado wapo mkuu,wanachapa kazi na maisha yanaendelea kana kwamba hakuna kilichotokea.
Tanzania hii isikieni tu,ni nchi ya hovyo sana.
safari hii nimepitwa sana na siasa za kenya.naomba utupe darsa dogo kuhusu uchaguzi huu unaondelea sasa.Nimewaambia mara nyngi unapouliza swali inabidi kutulia ujibiwe na sio kuelekeza unavyotaka ujibiwe, kwa wewe kuuliza ina maana hujui jibu hivyo subiri ujibiwe. Katika kukujibu inabidi kuongeza maneno ya kukupa picha nzima ili kukuondolea yale ulikaririshwa, sasa kwa mfano tu, hapo umeuliza yupi wa NASA tayari inaonyesha inabidi kukupa darasa nzima mpangilio wa kisiasa wa Nairobi.
NASA wao wana line up yao, humu nieleta wagombeaji wa Jubilee.
Mbona swali jepesi unajibu kwa jazba mkuu?Nairobi ipo Central??? Nafikiri kufikia hapo umedhihirisha mambo ya Kenya huwa unakaririshwa vijiweni.
nifah ulishawahi ishi mji wowote kenya angalau kwa miezi 6 au zaidi?Wakenya nawaaminia,hamna mchezo ktk masuala ya maslahi ya Taifa ndio maana mmeendelea.
Vijana bado wapo mkuu,wanachapa kazi na maisha yanaendelea kana kwamba hakuna kilichotokea.
Tanzania hii isikieni tu,ni nchi ya hovyo sana.