Hatimaye Kenya kuanza kuwa na kampuni binafsi za umeme, mwsho wa ukiritimba wa KPLC

Unaongea bila evidence hauto eleweka na iweinaanzia 2016
Ni nini ambacho hujaelewa hapo, kwamba usambazaji wa umeme Kenya ni 67.5% wakati Tz ni 32.8%? Pole sana, hizo ni takwimu za kweli, jikakamueni, mtafika tu.
 
True Power Transmission is a National Security Issue and Should Not be given to Private companies with no Formal Government Control. There are increased attacks on Power infrastruture example being the Virus(wannacry virus) That attacked USA national electric grid

Danger! Virus Discovered That Targets America's Electrical Grid
 
Ni nini ambacho hujaelewa hapo, kwamba usambazaji wa umeme Kenya ni 67.5% wakati Tz ni 32.8%? Pole sana, hizo ni takwimu za kweli, jikakamueni, mtafika tu.
Leta evidence kila mmoja anaweza kuleta hΓ―zo numbe kenya 35% Tanzania 95%
 
Kplc is not government owned its independent (parastatal) why are you too foolish...its like Kcc ....brookside and other milk companies brought competition
 
Leta evidence kila mmoja anaweza kuleta hΓ―zo numbe kenya 35% Tanzania 95%
Huo ubishi ulionao si ishu. Kuna uzi humu humu jf, utapata evidence ambayo nilileta kuhusu hilo. Kwenye maswala hayo hatuna cha kuiga kutoka kwenu. We fikiria Tz mpo kwenye 32.8% wakati Kenya usambazaji wa umeme ni 67.5%, hiyo gap inaashiria mengi sana.
 
Hivi yule prof. Muhongo mbona mlimtimua, niliona kama alikua ameanza kudhibiti hali na kuzuia mgao wa kila siku Bongo.
Kashifa zake zilikuwa upande wa madini, kumbuka wakati yeye akiwa waziri madini na nishati vilikuwa pamoja, sa hizi wizara zimetenganishwa, madini kivyake na nishati kivyake.

Hata hivyo, the guy is smart. Ni kwa kuwa alikuta system ikiwa imeoza
 
Competition is always good in business in most cases for consumers...Business has to have incentives to attract a large customer base hence improving productivity..Win win situation..Congratulations Kenyans...
 
Usambazaji wa umeme Kenya hadi Desemba 2017 ilikuwa ni 67.5%, Tz, 32.8%! Mafunzo tunaeza tukawapa ya bure. Muache kelele nyingi.
Teh! Eti 32%

Naona umeamua kujifariji[emoji12] [emoji12]
 
Usambazaji wa umeme Kenya hadi Desemba 2017 ilikuwa ni 67.5%, Tz, 32.8%! Mafunzo tunaeza tukawapa ya bure. Muache kelele nyingi.
Hivi huwa umekua umejinyea kabla ya kujibu au vipi?.Tanzania imeshaunganisha 75% ya wananchi wake wote, na kama ulivyomsikia Magufuli jana katika hotuba yake, ikifika 2021 vijiji vyote vitakuwa vimeunganishwa umeme, Kenya hadi December 2017 ni 63% ndiyo wameunganishwa umeme, hapana chezea Tanzania wewe, size yenu ni Somalia na South Sudan, zote ni failed states kama Kenya.
 
Hiyo inamaana gharama zitaongezeka na taifa liko hatarini kuingia kwenye giza pindi muwekezaji atapo amua kuzima mitambo. Pia KPLC itahujumiwa nahao wawekezaji.
Gharama zitaongezekaje? Weka data siyo kusema tu
 
Hivi yule prof. Muhongo mbona mlimtimua, niliona kama alikua ameanza kudhibiti hali na kuzuia mgao wa kila siku Bongo.
Yaani nimemkumbuka ghafla Prof Muhongo umeme ulikuwa haukatiki ovyo enzi zake
 
Hiyo inamaana gharama zitaongezeka na taifa liko hatarini kuingia kwenye giza pindi muwekezaji atapo amua kuzima mitambo. Pia KPLC itahujumiwa nahao wawekezaji.
Nyie bado mko kwenye megawati 1350 na unakenua meno kama punda mwenye nyege?
 
Migrate to Mars I think you might get a perfect utopian martian life there...why you always whine like a little scorned girl is a mystery.
 
2025 ndio mumepania kufika 50% overall electricity connectivity Rural Electrification - TanzaniaInvest
2033 ndio mtafika 75% (yaani ndio mtafika mahali Kenya ipo kwa sasa)
How Many Rural Tanzanians Have Power? – PesaCheck
Hii ndiyo taarifa official inayo quote maneno ya manager wa mradi wa Rural Energy Argency, jana Magufuli katika Hotuba yake ya kuweka jiwe la msingi phase 2. amesisitiza kwamba by 2021, vijiji vyote Tanzania vitakuwa na umeme, amerudia na kusisitiza hilo, unaweza kumsikiliza You tube, sasa kama mkuu wa nchi na watendaji wote wanasema hilo, sijui ni vipi mtu mwengine analipinga, kwa kutumia data zipi, zinazotoka source ipi?.
 
We jamaa bana. Taarifa yenyewe uloiweka hapo juu, ya pesacheck, inasema usambazaji wa umeme Tz ni 32.8%! πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Hujui kusoma kiingereza nini? Dah, I give up! Shukran kwa taarifa yenyewe lakini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…