Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Wala nchi haitakiwi kutishika serikali ikomae tu iendelee kutimua wafugaji toka Kenya kuna sababu sizianiki hapa ila serikali iko kwenye right track
Kuna watu kazi kubeza tu ; serikali ya Kenya iko sahihi kabisa 100% kwa hatua waliyochukuaWako sawa unaingiaje nchi ya bila vibali
Walizoweshwa vibaya na wako wengi tuKuna watu kazi kubeza tu serikali ya Kenya iko sahihi kabisa 100% kwa hatua waliyochukua
Si kuna nyumbu wetu mmoja yupo nai Hosp. ila hajafukuzwa.Magu baba lini kuzuia nyumbu kuvuka mipaka? Nyumbu wa Kenya hawatufai baba.
Umesahau na ng'ombe wao 1100 tuliowanywa supu kule K'njaro mwezi wa jana.Si mmechoma moto vifaranga kwa mbwembwe? Acheni dawa iwaingie.
Duuuuh!Haina shida hao ngombe wataifishe tu ila hata vifaranga cha Kenya hakitakanyaga Tanzania. Serikali idhibiti mipaka na njia zote za panya
Siku mkiona nyumbu wetu huko pigeni mnada kabisa na hakikisheni hawarudi huku Tanzania, Kama mwanaafrika mashariki sikupenda kitendo cha serikali yangu kutia moto vifaranga vyenu.Duh halafu mbaya zaidi imefanywa na Wamaasai wa Kenya, hivyo sasa kabila moja na ndugu walioishi pamoja miaka yote sasa wameanza kuzozana kwa msingi wa mpaka wa kikoloni, nilikua naogopa hili lisitokee. Maana hawa Wamaasai ni kabila moja, ni kama leo mzungu aje achore mpaka ndani ya Mwanza na kuwagawanya Wasukuma, utakuta kuna hata ndugu wa kuzaliwa kutoka tumbo moja wamegawanywa.
Chuki itakuuwaTulalamikie nini wakati ngombe walioshikwa Kenya ni wa wafuasi wa chadema
Uzalendo ni pamoja na kutetea bidhaa za Ndani Tanzania kuna wazalisha vifaranga vya kuku kibao kwa nini viagizwe nje? Wakati watanzania wenzetu wamewekeza mashine kibao wanazalisha vifaranga vinavyowadodea? Siwezi tetea mtanzania mmoja mfanyabiashara za vifaranga vya Kenya abayekuja kuua biashara ya mamia ya watanzania wazalisha vifaranga vya kuku.Yaani nisimame nitetee soko LA wazalisha viranga wa Kenya niache wa nchini kwangu?Duuuuh!
Nawe ni mtanzania mzalendo?
Natetea wazalendo watetea nchi lakini wakiwa chama ambacho kazi yake kutetea mafisadi wa mataifa ya nje wanaoiba raslimali zetu za madini nk Na kusaidia wezi kuzuia Mali zetu nje ziwe bombardier nk sitajali vingombe vyao vikizuliwa Kenya hata vikichomwa moto to hell.Nashangaa serikali ya Kenya hadi sasa kwa mini hawajawatia kibiriti hao ngombeSijasema habari ya vifaranga,
Nashangaa unapofurahia kutahifishwa kwa ng'ombe hao wa watanzania wenzako.
Wakati umeshajiita mzalendo unatetea vya ndani na vya watanzania .
Wala nchi haitakiwi kutishika serikali ikomae tu iendelee kutimua wafugaji toka Kenya kuna sababu sizianiki hapa ila serikali iko kwenye right track
Na sisi tulivotaifisha ng'ombe wao? Ulitegemea wakenya watupongeze au? Tit for tit!Sijasema habari ya vifaranga,
Nashangaa unapofurahia kutahifishwa kwa ng'ombe hao wa watanzania wenzako.
Wakati umeshajiita mzalendo unatetea vya ndani na vya watanzania .