Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Wala nchi haitakiwi kutishika serikali ikomae tu iendelee kutimua wafugaji toka Kenya kuna sababu sizianiki hapa ila serikali iko kwenye right track
Kuna siku umewai kuikosoa serikali? Kazi yako ni kupongeza.