Hatimaye Kenya yaipigia magoti Tanzania

Hatimaye Kenya yaipigia magoti Tanzania

Jana nilisema hapa Kenya wasianze kulialia na kupiga simu Tanzania itakapo chukua hatua kwa mtindo wa reciprocity (reciprocating the action taken by our naighbour country).
Hayajaisha masaa 72 wajumbe wa Tanzania wamemkata mtu (KQ) saa hii tunasikia high level diplomatic .....
 
Alafu tuko kimyaaaaaaa,mbwa wanabweka dadeki
English illiteracy can cause diplomatic problems [emoji38][emoji38][emoji38]
Screenshot_20200801-175123_Twitter.jpg


Sent from my SM-N975F using JamiiForums mobile app
 
G Sam umeona hii kitu?
Nenda kaandike tena maandiko ya kutetea wale jamaa kama unavyofanya kule kwa wale jamaa.
Wewe na KENYA ni mawakala wa wale jamaa.
Wenye dhamana wanajua na sisi raia wenye akili timamu pia tunajua wale ndiyo wanakupa ulaji huwezi kuwatetea vile siyo bure bure tu.
 
We can't even kneel before our own, iwe ni some Primitive uncultured village called Danganyika. You must be out of your wits


Come on idiot!. Show me this kind of development in any city of Tanzania. Who are you trying to fool? If Tanzani a is uncultured village, I then Kenia is a zoo of starving wild predators!.

Here we are and lets go.

 
Kuna mashirika mengine ya ndege ambayo binafsi nikisikia yametununia nitaogopa.....kwa mfano KLM.....Qatar.....Emirates......Turkish.....Swiss.....etc......
Nikisema hivi......wadau wa utalii wananielewa vizuri.........
Alafu mashirika yote hayo yalikuwa yanatua sana pale KIA
 
Uzuri migogoro yote mnayoianzisha hamjawahi kujibiwa na waziri achilia mbali rais. Hawana muda na nyie, yaani mkurugenzi mamlaka ya ndege ame switch mnataftana.

Ma RC wameswitch mnataftana.

Siku mkijibiwa na waziri sijui itakuwaje. Siku mkijibiwa na rais nadhani nchi yenu itakuwa shut down kabisa.

Kenya siku zote inajibiwa na watu wadogo Tanzania
[emoji23][emoji23][emoji23]ksh itashuka mauzo kwenye soko la hisa[emoji16][emoji16]
 
Shida sio kufungua anga gradually, tatizo ni kuzuia watanzania kuingia kwao. Kama ndege zao zitakuja Tanzania, maana yake ni kuwa wakati ndege zikirudi Kenya watanzania hawaruhusiwi kupanda kwenda Kenya
Mh ww ndio statement yao walisema ya kuwa raia wa tz wasipande ndege zao na marufuku kuingia kenya ?
 
Ukweli ndio huu. You guys don't know English. This makes you unable to understand simple directives from kenya. View attachment 1523738

Sent from my SM-N975F using JamiiForums mobile app
😄😄😄😄. Ww jamaa ni zumburukuku kweli ss je izo diplomatic talk wanatumiaga lugha gan ? Maana na nyiee hamjui kiswahili fasaha . Kjeri yetu we understand english conversantly
 
Sikiliza Macharia anavyopata taabu kutafuta suluhu baada ya kukurupuka kama kawaida ya viongozi wa Kenya (5:24)

Nimemsikia huyu waziri, hawa jamaa mambo wanayaanza wenyewe alafu wakibanwa kidogo wanakimbilia kulia.

Eti hawakufunga, wakati dunia nzima walitangaziwa tena kwa mbwembwe zote BBC, DW n.k alafu ajabu Tanzania ilipojibu hivi vyombo watetezi sijasikia kabisa kuripoti hii taarifa hata kidogo.
 
We can't even kneel before our own, iwe ni some Primitive uncultured village called Danganyika. You must be out of your wits
How can you waste your time provoking against uncultured village called Danganyika. Idiot
 
Back
Top Bottom