Hatimaye Kenya yaipigia magoti Tanzania

You have blinked first Buda, that's what we wanted,ni hivi,hakuna mtz kupimwa Corona Kenya kwa kuchokonolewa mdomo au pua,hakuna mtz kuwekwa karantini Kenya,watapimwa joto tu Kama tunavyowapima watalii hapa kwetu,hakuna mtz atazuiwa kupanda KQ,mpende msipende!
 
Unabip kujampa wakati unaharisha[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Mnatutegemea kuliko tunavyowategemea. We are super than you young bro and sisy.
 
All these sources are from Kenya. I don't believe if we Tanzanians have agreed to allow KQ on our airspace.

Any source from TCAA please!!
 
Alisikika hayawani mmoja kutoka Tandale.
 
Nyingi mbona. Halafu hamjawahi kujibiwa na rais wala waziri, mnajibiwa na executive to wa kawaida. Wakuu wa mikoa wanawajambisha, juzi director wa viwanja vya ndege kawajambisha.View attachment 1524515
INFERIORITY COMPLEX in its full display. πŸ˜‚πŸ˜‚ woiye Tanzanians, labda ibaki tuwahurumie.
 
Aah wapi mtoto akilia hujampa pipi. Unampa atulie
 
Macharia alisema ameongea na Eng. Kamwelwe na kuanzia leo ndege za KQ zitarhusiwa kuingia na kutua Bongo.

Vipi kuna ndege yeyote ya KQ ineruhusiwa Bongo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…