Hatimaye Kenya yaipigia magoti Tanzania

Macharia alisema ameongea na Eng. Kamwelwe na kuanzia leo ndege za KQ zitarhusiwa kuingia na kutua Bongo.

Vipi kuna ndege yeyote ya KQ ineruhusiwa Bongo?
Kwa hivyo mlikurupukwa. Yaani 24hrs hazijaisha na orders have already been rescinded?
 
Kenya maisha magum wanashindwa hata afford pesa ya bundle so wacha tuwatrendishe mitandaoni[emoji23][emoji23] (joking)
 
You guys don't know English. This makes you unable to understand directives from Kenya
Hizo "directives za Kenya" pelekea mke wako mkale nazo ugali mchanganye na English kama kachumbari mle!

Ati "directives za Kenya". Hehehee..
 
Mawazo ya kikoloni ...ni mawazo ya utumwa...more than 50 years after independence mtu Bado anaona fahari kuzungumza English...na anasema bila aibu kuwa ni birth right...duh...stupid...
 
Mmetawaliwa mawazo na Akili,cheki unavoandika kwa majivuno et"birth right"!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…