Kwa hivyo mlikurupukwa. Yaani 24hrs hazijaisha na orders have already been rescinded?Macharia alisema ameongea na Eng. Kamwelwe na kuanzia leo ndege za KQ zitarhusiwa kuingia na kutua Bongo.
Vipi kuna ndege yeyote ya KQ ineruhusiwa Bongo?
Yaani huelewi hata kinachoendelea[emoji16][emoji16][emoji16]Kwa hivyo mlikurupukwa. Yaani 24hrs hazijaisha na orders have already been rescinded? View attachment 1525274
TROGLODYTE!Yaani huelewi hata kinachoendelea[emoji16][emoji16][emoji16]
Upo upo kama mbuzi.
Hakuna KQ mpaka Sasa hivi,unasemaje?Kwa hivyo mlikurupukwa. Yaani 24hrs hazijaisha na orders have already been rescinded? View attachment 1525274
Mbona sijasikia serikali ya Tz ikizungumzia hili swala?
Kenya maisha magum wanashindwa hata afford pesa ya bundle so wacha tuwatrendishe mitandaoni[emoji23][emoji23] (joking)Ina trend kwa sababu twitter accounts za media za Tanzania zimeripoti kwa kuandika taarifa kuanzia jana TCAA ilipozuia ndege zenu kutua Tanzania bila kusahau accounts binafsi za twitter...mbona ni kitu simple tu au ni uwezo mdogo wa kufikiri ndio inakufanya usitambue!
Wala sio joking ni ukweli mtupu wakenya wengi wanategemea free WiFi.Kenya maisha magum wanashindwa hata afford pesa ya bundle so wacha tuwatrendishe mitandaoni[emoji23][emoji23] (joking)
Ndio dawa yao wazee wa bangi.Mbona sijasikia serikali ya Tz ikizungumzia hili swala?
Nyang'aO wacha kujifariji na haka kakizungu kako koko.You must be out of your wits
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usitufokee tafadhali.......
Hizo "directives za Kenya" pelekea mke wako mkale nazo ugali mchanganye na English kama kachumbari mle!You guys don't know English. This makes you unable to understand directives from Kenya
Mawazo ya kikoloni ...ni mawazo ya utumwa...more than 50 years after independence mtu Bado anaona fahari kuzungumza English...na anasema bila aibu kuwa ni birth right...duh...stupid...Cha ajabu ni kwamba hili swala la kiingereza ni nyinyi Watanzania mnaizungumzia na inabainika kiwazi kuwa ni jambo linalowauma zazawa.
WaKenya kujua kiingereza ni birthright yao kwani wanapambana nayo kutoka shule za chekechea na maisha ya kila siku. Kwa muktadha huu, iweje tena tujisifie kitu tulichokizoea? Tena kwa mitanzania?
Ujinga.
Haya sasa jibu swali langu, kuna ndege yeyote ya KQ iliyotia kiherehere cha kutua Bongo?Kwa hivyo mlikurupukwa. Yaani 24hrs hazijaisha na orders have already been rescinded? View attachment 1525274
Mmetawaliwa mawazo na Akili,cheki unavoandika kwa majivuno et"birth right"!Cha ajabu ni kwamba hili swala la kiingereza ni nyinyi Watanzania mnaizungumzia na inabainika kiwazi kuwa ni jambo linalowauma zazawa.
WaKenya kujua kiingereza ni birthright yao kwani wanapambana nayo kutoka shule za chekechea na maisha ya kila siku. Kwa muktadha huu, iweje tena tujisifie kitu tulichokizoea? Tena kwa mitanzania?
Ujinga.