Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wengi sna😂😂😂ila meli ni luxury naona wana miezi wanazunguka tu .Watalii 800+ ina maana humo ndani ya meli kuna starehe za laana zinafanyika,pombe,uzinzi,kamari n.k,bado wale LGBTQ hawezi kukosa tunafurahi laana kuingia nchini kisa pesa....inasikitisha sana.
Wameleta agenda zao hao watalii wenu....magasho hawakosi humo ndani.
Nimepita hapa Bandarini nimeiona aisee.View attachment 2588231
View attachment 2588233
View attachment 2588235
Ijue story ilipoanzia 👇🏾.
Muombee Adui Yako Njaa; Maandamano Yanayoendelea Kenya Yawafurusha Watalii 800 na Kukimbilia Tanzania.
Mzee RAO anamuangamiza kiuchumi Rais Ruto na makamu wake Gachagua kupitia maandamano. Meli ya kitalii iitwayo MV Seabourn Sojourn, iliyopo njiani kwenda nchi mbalimbali duniani, ambapo kwa afrika mashariki ilikuwa isimame kwa siku 6 kwenye bandari ya Mombasa, sasa imebadiri uelekeo hadi...www.jamiiforums.com
juzi karibu na pasaka walishuka walikuwa kibao wamekuja kula sikukuuWameleta agenda zao hao watalii wenu....magasho hawakosi humo ndani.
Acha wenge wewe..Watalii 800+ ina maana humo ndani ya meli kuna starehe za laana zinafanyika,pombe,uzinzi,kamari n.k,bado wale LGBTQ hawezi kukosa tunafurahi laana kuingia nchini kisa pesa....inasikitisha sana.
Sawa nimeacha.Acha wenge wewe..
Lazima mkubali sheria.juzi karibu na pasaka walishuka walikuwa kibao wamekuja kula sikukuu
Fuatilia story vizuri.Mnapenda kutengeneza Story Zanzibar ni sehemu inyoongoza kwa Utalii ikishindana na Morocco pamoja na Cape Town Meli na wageni wake waandaa safari wanaenda wapi na wanalipia kabla hata hawajaanza safari hiyo meli sio bus kuwa itabadili route juu kwa juu ina Bima na matakataka yote mpaka kwa wageni kwa kila safari...ukibahatika kuonana na mtalii hapo wana ramani kabisa ya hiyo Meli wakitoka hapo wataelekea wapi na wapi kwa gharama walizolipia...
Lol Mara ndege kubwa ya kwenda Dubai inafanya emergency landing tz kutokana na kukwepa anga lenye machafuko la Sudan,huku meli ya watalii inadivert trip to dsm instead ya Kenya kutokana na maandamano,🤔tized inageuka kama the land of refuge 🤣Fuatilia story vizuri.
Hiyo meli ilikuwa iende Kenya lakini imekuja DSM kutokana na vurugu za Kenya
Land of refugees a k.a jumba bovuLol Mara ndege kubwa ya kwenda Dubai inafanya emergency landing tz kutokana na kukwepa anga lenye machafuko la Sudan,huku meli ya watalii inadivert trip to dsm instead ya Kenya kutokana na maandamano,🤔tized inageuka kama the land of refuge 🤣
Hakuna kitu kama hicho Mkuu hizi meli za wageni hazifanyi huo upuuzi mgeni anaambiwa ataenda Zanzibar,Durban hata kabla hawajaanza Safari Meli ilifanya tofauti inaweza ikashtakiwa sio rahisi kama mnavyozungumza hiyo Zanzibar inatangazwa Duniani kuliko mnavyodhania ndio maana mnadhani vitu vyake vinakuja kwa bahati mbaya...Fuatilia story vizuri.
Hiyo meli ilikuwa iende Kenya lakini imekuja DSM kutokana na vurugu za Kenya
Endeleeni kudanganyana wakati pana Kampuni zilikua zina wageni kwenye hiyo meli toka hizo Link zenu mnaanza kuandika mimi huwa nawaangalia mkidanganyana sana...pana vitu huwa najiuliza hamna exposure au kitu gani mpaka mnafikia kuandika uongo huo harafu na wengine wanafuta hayo madudu yenu yapo makampuni ya Utalii walikua washapata hela kutoka kwa hao wageni hata kabla hata safari haijaanza...Mkuu utakuwa uelewi au hujafuatilia nini kilitokea au kinaendelea hadi meli hiyo kuja Tanzania ndiyo mana umeandika hicho ulichoandika.
Please chini ya mada kuna link ifuatilie ujue, that is why nimeanika "Ijue story ilipoanzia"
Harafu anakuja mtu mmoja anakwambia Meli imekuja na watalii kwa bahati mbaya hizi ni fitna za baadhi ya Watanzania wakiamini Wajenya ndio ilikua hela yao hiyo wakati sio kweli...
Hakuna kitu kama hicho Mkuu hizi meli za wageni hazifanyi huo upuuzi mgeni anaambiwa ataenda Zanzibar,Durban hata kabla hawajaanza Safari Meli ilifanya tofauti inaweza ikashtakiwa sio rahisi kama mnavyozungumza hiyo Zanzibar inatangazwa Duniani kuliko mnavyodhania ndio maana mnadhani vitu vyake vinakuja kwa bahati mbaya...
Safari ya Mombasa,Zanzibar,Daslm ilikuwepo sio kwamba ilikua Mombasa pekee na hiyo safari ya Zanzibar imekuja baada ya machafuko....wamekatisha Kenya wameendelea na ratiba ingine sio kwamba Tanzania wamekuja kwa sababu ya machafuko ya Kenya yapo makampuni yalishalipwa kwa hiyo safari hata kabla hawajaanza Safari huko na walienda kupokea Zanzibar...
Watu kama wewe ni wachache sana au wapo ila hawataki kuwa kama wewe.Endeleeni kudanganyana wakati pana Kampuni zilikua zina wageni kwenye hiyo meli toka hizo Link zenu mnaanza kuandika mimi huwa nawaangalia mkidanganyana sana...pana vitu huwa najiuliza hamna exposure au kitu gani mpaka mnafikia kuandika uongo huo harafu na wengine wanafuta hayo madudu yenu yapo makampuni ya Utalii walikua washapata hela kutoka kwa hao wageni hata kabla hata safari haijaanza...