Msuli wa mbu
Senior Member
- May 4, 2021
- 146
- 485
Tumpe kazi ya u-auditor pale jangwani.Haya muhasibu OKW BOBAN SUNZU jiandae kuianza ile kazi yako pendwa tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumpe kazi ya u-auditor pale jangwani.Haya muhasibu OKW BOBAN SUNZU jiandae kuianza ile kazi yako pendwa tena
Sidhani kama watamuacha huyo Guede, na kama ikitokea wamemuacha basi naona sio maamuzi sahihi.Keshaliwa kichwa yule.
Ndiyo nimesikia anakuja yule Jonathan Sowah aliyekuwa Medeama!! Sasa yule jamaa na yale mahasira yake si atapigwa kadi nyekundu za kutosha sana na hawa akina Tatu Malogo wetu!!Keshaliwa kichwa yule.
Guede akiondoka Yanga mimi na mpira basi tena😣Ndiyo nimesikia anakuja yule Jonathan Sowah aliyekuwa Medeama!! Sasa yule jamaa na yale mahasira yake si atapigwa kadi nyekundu za kutosha sana na hawa akina Tatu Malogo wetu!!
Ila binafsi namkubali sana. Maana ni Bull Striker! Na kwa mfumo wa Yanga, ni rahisi kufit ukilinganisha na Joseph Guede.
Mimi namtaka Guede!😞Pole sana kipenzi. Tunakuletea Jonathan Sowah! Huyo naye utampenda tu taratibu taratibu. 😩
Tutalipa tu sasa. Hakuna nakna nyingine. Ila kumsajili mchezaji kama Okrah kwa milioni 120, na yenyewe yalikuwa ni matumizi mabaya ya fedha za klabu.Kuna kesi mbili mpya ya Okra na club yake jitahidini kabla ya kuanza kusikilizwa.
Basi😣Sasa tutafanyaje!! Yule Guede alishindwa kabisa kujipapatua kiasi cha kizidiwa maarifa wakati fulani na dogo Clement Mzize.
Taarifa za chini ya kapeti zinaonesha Jonathan Sowah aliyekuwa Medeama na January alihamia timu ya Al Nasry sijui ya Libya, amechukua nafasi yake.Sidhani kama watamuacha huyo Guede, na kama ikitokea wamemuacha basi naona sio maamuzi sahihi.
Ongea uhalisia mkuu, Guede kacheza mechi ngapi na ana magoli mangapi? Ni straika yupi wa Yanga ana namba nzuri kuliko Guede? Sio Mzize sio Musonda wote hao kawakuta wamecheza mechi kibao na kawaacha kwa namba. Kaja katikati ya ligi lakini ana magoli sita.Sasa tutafanyaje!! Yule Guede alishindwa kabisa kujipapatua kiasi cha kizidiwa maarifa wakati fulani na dogo Clement Mzize.