Baada ya barua ya Ngome FC kulalamika mtandao wa Simba SC na la Semaji la KAFU wakabadilisha nembo ya Ngome FC ya Zanzibar wakaweka nyingine.Inakuwaje sasa timu kama simba inatengeneza taarifa za uongo kama hizi!! Mimi nilitaka kuwapongeza kwa kuwaiga kaka zao Yanga, kwa kuondokana na ule ulimbukeni wao wa kucheza na timu za nje!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kaka zao kwa Kila kitu nashangaa Kuna wapuuzi wanaita eti mapacha wa KARIAKOO upacha wao unatoka wapi?Inakuwaje sasa timu kama simba inatengeneza taarifa za uongo kama hizi!! Mimi nilitaka kuwapongeza kwa kuwaiga kaka zao Yanga, kwa kuondokana na ule ulimbukeni wao wa kucheza na timu za nje!!
Hatimae Aubin Kramo leo amecheza na kufunga goli Simba ikiifunga timu ya Ngome fc ya Dar es Salaam goli sita kwa bila. Magoli ya Simba yamefungwa na Aubin Kramo, Baleke goli 2, Kapombe, Onana na Chilunda.
NB: Ikumbukwe ilisemakana kuwa Kramo kila akipangwa kucheza match anaanza kuumwa,tukumbuke pia Boko hakuwepo alikuwa Algeria.
Kwa akili yako ya kukalia mwiko nyuma ngome iko zenji tu hukuona picha za magari ya jeshi bunju arena?Baada ya barua ya Ngome FC kulalamika mtandao wa Simba SC na la Semaji la KAFU wakabadilisha nembo ya Ngome FC ya Zanzibar wakaweka nyingine.
Amepona umemponya wewe?Futa Uzi wako.
Upo Nyuma ya wakati.
JUZI tu amefunga goli na amesha PONA.
Ujinga ni MZIGO.
Ndio maana tunaitwa Mbumbumbu!Kwa akili yako ya kukalia mwiko nyuma ngome iko zenji tu hukuona picha za magari ya jeshi bunju arena?
Hajui kwamba ameumia tena.Amepona umemponya wewe?
Haya wazee wa nyuma MWIKONdio maana tunaitwa Mbumbumbu!
View attachment 2744831
View attachment 2744832
Inawezekana umetoroka Milembe.
Wenye akili wamenielewa kwenye posti #21.
Yaani zile tano ambazo Simba alimpiga Yanga?Simba lazima watangaze ili kuzima zile tano tano za Yanga.
Ukiachana na nembo, jina la Ngome walilibadili pia?Baada ya barua ya Ngome FC kulalamika mtandao wa Simba SC na la Semaji la KAFU wakabadilisha nembo ya Ngome FC ya Zanzibar wakaweka nyingine.
Ni afadhali ukae kimya ili ufiche upumbavu wako!Ukiachana na nembo, jina la Ngome walilibadili pia?