kusema kweli hadi leo mwakinyo sijaona ukali wake hadi aonekane ni mkali sanaAnapigana na wasio na akili..
Hajampiga bondia yeyote anayejielewa.. Anapigana mchangani huko kwao Russia.
Ni kama huyu Mwakinyo wenu tu..
nimecheka sana hahahaha jf siami kabisaKwa hiyo wanaishi kwa ugomvi sio
mkuu utakuwa unatania hakika yani huwajui hao mabondia?hao mabondia wa tanzania ndio nawasikia leo
Huyo mwambie kuhusu wakina zuchu na ggy
Ebwana nlipita siku moja kwenye gym ya mzazi respect naona vijana wanajifua sana
Na bongo mchezo ambao ungepewa promo sana ni ngumi maana watu wana gadhabu sanaa
Ova
Huyo mwambie kuhusu wakina zuchu na ggy
Ebwana nlipita siku moja kwenye gym ya mzazi respect naona vijana wanajifua sana
Na bongo mchezo ambao ungepewa promo sana ni ngumi maana watu wana gadhabu sanaa
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....! Hii ndio JFKwa hiyo wanaishi kwa ugomvi sio
Ndio nasemaje....Mkuu tusikaze sana tuendelee kujifukiza na kutumia maji tiririka au ww unasemaje ?
Karibuni GeitaWanaishi kwa mapigano sio ugonvi
AJ ile ni namba nyingine mzeebabaKublat ni mzuri , nilisikitika sana alipopigwa na AJ.