chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,079
- 2,273
- Thread starter
- #121
sidhani mkuu mi sio mtumwa kihivyoKuna siku utavitafuta sana, utavipata kwa gharama kubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sidhani mkuu mi sio mtumwa kihivyoKuna siku utavitafuta sana, utavipata kwa gharama kubwa.
wasio na vyeti wanaishije?Kuna siku utavitafuta sana, utavipata kwa gharama kubwa.
Ambaye hana vyeti hana tu, hata ikitokea mchongo wa ajira hawezi shituka. Ila kama unavyo ndani sio lazima uvichane, unaweza kuvitunza ukaendelea na mishe zingine.wasio na vyeti wanaishije?
Hahahahahaaaaa, sawa.sidhani mkuu mi sio mtumwa kihivyo
Ameamua kutokuwa navyo hivyo sidhani kama ana haja ya kufikiria asichokuwa nachoAmbaye hana vyeti hana tu, hata ikitokea mchongo wa ajira hawezi shituka. Ila kama unavyo ndani sio lazima uvichane, unaweza kuvitunza ukaendelea na mishe zingine.
incase kuna mchongo utavitumia.
Hata life linipige siwezi tupa vyeti. Mtoa mada tumpime mkojo. Ushauri kuntu huuMimi siwezi vichoma Moto abadani...sawa havinipi hela..but kuvipata hela nyingi ya wazazi na serekali ilitumika..
Pia na Mimi nikiweka effort kuubwa..So vikae tu...Kwani Kuna shida gani vikikaa kabatini vikapata vumbi..
safi mkuu umenisaidiaAmeamua kutokuwa navyo hivyo sidhani kama ana haja ya kufikiria asichokuwa nacho
ySafi sana tukutane mtaani, vyangu alichana X.
Kongolee mwana JF
watu wanadhani maisha ni vyeti tu.Safi sana tukutane mtaani, vyangu alichana X.
Kongolee mwana JF
Wewe jembe mkuu, weka pichaNi jambo ambalo nimekuwa nalifikiria mara nyingi kuchana hivi vyeti maana vinanitia hasira sana hakuna vilichosaidia kwa miaka minne leo nimechana rasmi kuanzaia o level mpaka chuo tukutane mtaani guys.
amini mkuu sitaafuti sifa za kijingaWewe jembe mkuu, weka picha
Sasa uzi umeanzisha wa nini bossamini mkuu sitaafuti sifa za kijinga
Anasota kitaa anataka ajira hebu mpatieHujachoma moto acha uongo. We tuambie umeamua kuachana na kuajiriwa
nmeeleza nilichofanya kama huamini potezea mkuuSasa uzi umeanzisha wa nini boss
niko poa kabisa mkuu sijarogwaDalili za kurogwa ndiyo hizi