financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Kwani chura ndiyo itakayokua inatype kwenye keyboard ya computer?? We nibanie tu mchongo😬 sawa tuuUna chura?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani chura ndiyo itakayokua inatype kwenye keyboard ya computer?? We nibanie tu mchongo😬 sawa tuuUna chura?
Ongera umejitoa kwenye kifungo cha Vyeti hapo hata barafu utauza ila angalia usije jutia baadae.BTW namshukuru Mungu kunipa ujasiri I feel free now
Acha utani mkuu naomba picha za vipande vya karatasi za vyeti ulivyochana kisha twende sawani jambo ambalo nimekuwa nalifikiria mara nyingi kuchana hivi vyeti maana vinanitia hasira sana hakuna vilichosaidia kwa miaka minne leo nimechana rasmi kuanzaia olevel mpaka chuo tukutane mtaani guys
Siku ukijiajiri ukapata tenda wakiomba CV yako uambatanishe na vyeti utakomani jambo ambalo nimekuwa nalifikiria mara nyingi kuchana hivi vyeti maana vinanitia hasira sana hakuna vilichosaidia kwa miaka minne leo nimechana rasmi kuanzaia olevel mpaka chuo tukutane mtaani guys
Ni vyakwakeSiyo kwamba umechoma nyaraka za serikali hivyo unapaswa kukamatwa na kushitakiwa mahakamani?
Mwache na akili zake. Hajui kuwa siku hizi board member wa kampuni flaniflani Lazima awe "qualified" na vyeti.Dooh hata sasa bado it's your plan B mkuu! maana ukiamua kuvipata tena inawezekana Necta na chuo wanakuprintia tena mbona. Sijui mi naona kama ungekua hutaki kuvitumia ungevihifadhi mahali!siku utapata deal hata huko mtaani litaloweza hitaji hivo vyeti ukasumbuka[emoji2369]. Kila rakheri
sihitaji kuwa board memberMwache na akili zake. Hajui kuwa siku hizi board member wa kampuni flaniflani Lazima awe "qualified" na vyeti.
Ni jambo ambalo nimekuwa nalifikiria mara nyingi kuchana hivi vyeti maana vinanitia hasira sana hakuna vilichosaidia kwa miaka minne leo nimechana rasmi kuanzaia o level mpaka chuo tukutane mtaani guys.
uwezo wako wa kufikiri mdogo mnoMkuu lazima vikupe hasira kama vimejaa "F" za kutosha.. bora tu umevichoma..
Jina lako tu la kitumwaNi jambo ambalo nimekuwa nalifikiria mara nyingi kuchana hivi vyeti maana vinanitia hasira sana hakuna vilichosaidia kwa miaka minne leo nimechana rasmi kuanzaia o level mpaka chuo tukutane mtaani guys.