Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,130
- 6,097
Nimetuma dogo mafuta ya taa kwa mangi. Haiwezekani uwe peke yako.ni jambo ambalo nimekuwa nalifikiria mara nyingi kuchana hivi vyeti maana vinanitia hasira sana hakuna vilichosaidia kwa miaka minne leo nimechana rasmi kuanzaia olevel mpaka chuo tukutane mtaani guys