chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,079
- 2,273
- Thread starter
- #21
Amini mkuu sina haja ya kubishanaHii ni hadithi ya watoto.
Sisi wengine tunakuona balehe inakusumbua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amini mkuu sina haja ya kubishanaHii ni hadithi ya watoto.
Sisi wengine tunakuona balehe inakusumbua.
Mkuu nimefikiria kuvichana kwa muda mrefu japo mwanzo niliwaza kuvirudisha institutions nilikosomea na daily nilikuwa natembea navyo kwenye begi nawaza pa kuviweka hatimaye nimechukua maamuzi hayoTuonyeshe picha,ila mwenyewe mwisho kutumia vyeti vyangu itakuwa 2025.ila Mimi sitovichana nitaviweka kama ukumbusho.
Hata vya form 4, 6, na zile result slip walikuwa zile karatasi wanazitengeneza wao, baadae nadhani wakawa wanatengeneza vyeti kabisa, tofauti ya cheti OG na fake cha form 4 ilikuwa kwenye ile nembo ya taifa inang'aa pale chini, watuw alikuwa wanadhani mapambo kumbe ile ndiyo ilikwua inasomwa na machine maalum iliyoconnected kwenye PC yani details ilioandikwa kwenye cheti ile machine inazisoma kwenye ile nembo kikiwa fake ina maana haiwezi soma kitu kwakuwa ni pamboOhoo inawezekana ni hivo na huo mlolongo wake sasa! Unaambiwa ukachukue loss report police mara utangaze gazetini kama umepoteza !sijui huyo alochana kwa makusudi tu ataambiwaje hapo na kuna gharama unalipia.Mimi siwezi kufikia kuchana aisee hata iwaje🤔
Ni heri amechana maana Kama interview wangekuwa watu 1000 Sasa tumebaki 999, endeleeni kuongezeka watu wa kuchana vyetiAisee sawa kama unahisi ni uamuzi wa busara kwa sasa! Ila usije siku ukavikumbuka baada ya kutokea mchongo wa maana na vyeti ulishavichana. Kwani huwezi kuingia mtaani huku ukiwa umefungia kabatini hivo vyeti???
O level nna one, advance two, chuo lower secKwa division na madaraja uliyopata ni halali kuvichana aisee. Ni kama ulikuwa msindikizaji
Sikuungi mkono kuvichana, ila pia kwakuwa unajua huna vyeti akili yako itafunguka zaidi maana option iliyokuwa inakupa matumaini ushaiuamkuu nimefikiria kuvichana kwa mda mrefu japo mwanzo niliwaza kuvirudisha institutions nilikosomea na daily nilikuwa natembea navyo kwenye begi nawaza pa kviweka hatimaye nimechukua maamuzi hayo
Hongera Sana Mkuu.ni jambo ambalo nimekuwa nalifikiria mara nyingi kuchana hivi vyeti maana vinanitia hasira sana hakuna vilichosaidia kwa miaka minne leo nimechana rasmi kuanzaia olevel mpaka chuo tukutane mtaani guys
Acha wivu na English figure yangu mkuu😛! Kwakweli mimi kwa sahivi ajira yangu ndiyo dili langu aisee huko ndiyo itapatikana startup capital ya madili mengine.Acha woga wewe!Kila siku kuvaa visiketi kwenye english figure na kwenda kwenye kazi za kuajiriwa unaona ni dili?
Labda hivyo vyeti vilikuwa hafifu hata unaona aibu kuviombea kazi au kuvutumia kwa chochote kile kwa mfano kupata mkopo wa vikoba. Kumbuka cheti siyo lazima kikusaidie kwenye ajira tu. Tuseme umebahatika kuokota shilingi laki tano. Ukazitumia kama mtaji wa kuuza maji ya ukwaju. Ukaendelea vizuri kuzalisha ukafikia kufikiria kuanzisha kiwanda kidogo cha maji baridi ya ukwaju na matunda. Unataka mashine ya kukamua matunda, na pia friji za kuhifadhia maji au vifaa vya kutunzia hayo maji. Unaambiwa uandike "project proposal" na kuambatanisha vyeti vyako vya uhitimu. Kama umechoma utaanza kuhangaika na baraza la mitihani/chuo kupata hivyo vyeti. Uliekosa kazi ni wewe na wala si vyeti vilivyokukosesha kazi. Fanya haraka kwenda kuhusikako upewe vyeti mbadala. Namba nikukumbushe maneno ya Mary Kay Ash "Never give up, because you never know if the next try is going to be the one that works".ni jambo ambalo nimekuwa nalifikiria mara nyingi kuchana hivi vyeti maana vinanitia hasira sana hakuna vilichosaidia kwa miaka minne leo nimechana rasmi kuanzaia olevel mpaka chuo tukutane mtaani guys
now naweza zamia hata mbele kufight life sina tena mambo ya kuwaza ajiraSikuungi mkono kuvichana, ila pia kwakuwa unajua huna vyeti akili yako itafunguka zaidi maana option iliyokuwa inakupa matumaini ushaiua
BTW namshukuru Mungu kunipa ujasiri I feel free now
Fursa jùu ya fursa hiyo😀😀 competition inapungua mwishowe ujikute umebaki wewe tu mwenye cheti! Basi kazi zote zako unachagua tu🙌Ni heri amechana mana Kama interview wangekuwa watu 1000 Sasa tumebaki 999, endeleeni kuongezeka watu wa kuchana vyeti
Sent using Jamii Forums mobile app
no sina mpango wa kufanya hivyoLabda hivyo vyeti vilikuwa hafifu hata unaona aibu kuviombea kazi au kuvutumia kwa chochote kile kwa mfano kupata mkopo wa vikoba. Kumbuka cheti siyo lazima kikusaidie kwenye ajira tu. Tuseme umebahatika kuokota shilingi laki tano. Ukazitumia kama mtaji wa kuuza maji ya ukwaju. Ukaendelea vizuri kuzalisha ukafikia kufikiria kuanzisha kiwanda kidogo cha maji baridi ya ukwaju na matunda. Unataka mashine ya kukamua matunda, na pia friji za kuhifadhia maji au vifaa vya kutunzia hayo maji. Unaambiwa uandike "project proposal" na kuambatanisha vyeti vyako vya uhitimu. Kama umechoma utaanza kuhangaika na baraza la mitihani/chuo kupata hivyo vyeti. Uliekosa kazi ni wewe na wala si vyeti vilivyokukosesha kazi. Fanya haraka kwenda kuhusikako upewe vyeti mbadala. Namba nikukumbushe maneno ya Mary Kay Ash "Never give up, because you never know if the next try is going to be the one that works".
Shetani alivyo mbaya utashangaa mwezi huu unaletewa mchongo na huna vyeti. Hapo ndipo utaskia kudatanow naweza zamia hata mbele kufight life sina tena mambo ya kuwaza ajira
Picha ya uthibitisho wa vipande vipande vya vyeti muhimu kweli. 😀😀picha Tafadhali
Safiiini jambo ambalo nimekuwa nalifikiria mara nyingi kuchana hivi vyeti maana vinanitia hasira sana hakuna vilichosaidia kwa miaka minne leo nimechana rasmi kuanzaia olevel mpaka chuo tukutane mtaani guys