TZ-1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 4,321
- 7,501
Unga na nnNanogesha nakapichaView attachment 2579800
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unga na nnNanogesha nakapichaView attachment 2579800
tutamfilisi melo kwa hizo 200kuanzia mwakani tunalipwa kutokana na likes. Like moja sh 200
niwe serious na likes sioAcha kuwa serious sana na maisha utakufa mapema man
Watu watakesha kupata likes, itakuwa ni ajira mbona😀tutamfilisi melo kwa hizo 200
200 kubwaa wewe, watu watapiga hela
Naomba umuhimu wa likesNanogesha nakapichaView attachment 2579800
tutaenda kujichimbia kule kwa makapuku, tutagawana likes mia mia kila siku😄Watu watakesha kupata likes, itakuwa ni ajira mbona😀
Majobless wote watahamia jftutaenda kujichimbia kule kwa makapuku, tutagawana likes mia mia kila siku😄
Taifa linalokosa uaminifu, uadilifu katika vitu vidogo, haliwezi kuwa na uaminifu, uadilifu katika mambo makubwa na ya msingi.Ndoto yangu ilikuwa nifikishe likes 1,000 kabla ya Pasaka ya mwaka 2023, hatimae leo nimefikia. Pongezi nyingi kwangu, sasa hii pasaka nitakula vizuri sababu nimetimiza lengo langu kuu hapa JF.
Kwenye kuipambania hii ndoto ya kufikisha likes 1000 nimepitia changamoto nyingi, miongoni mwa changamoto hizo ni pamoja na kuanzisha bandiko wakati mwingine halina ukweli pia kuna muda inakulazima ukomenti kinyume kabisa na matakwa pamoja na maono yako Ili tu nipate like.
Sasa nimefikisha lengo, ahsanteni wote mlio like chochote nilichotoa humu wakati mwingine ni pumba ila wanangu wa nguvu mlilike.
Napenda sana likes, naomba muendelee kunipa likes japo mwandiko wangu siyo mzuri.
Niambie wewe ulipata like 1000 mwaka gani?
Hapo ulijiunga 2018 na tuliojiunga juzi tusemeje?Ndoto yangu ilikuwa nifikishe likes 1,000 kabla ya Pasaka ya mwaka 2023, hatimae leo nimefikia. Pongezi nyingi kwangu, sasa hii pasaka nitakula vizuri sababu nimetimiza lengo langu kuu hapa JF.
Kwenye kuipambania hii ndoto ya kufikisha likes 1000 nimepitia changamoto nyingi, miongoni mwa changamoto hizo ni pamoja na kuanzisha bandiko wakati mwingine halina ukweli pia kuna muda inakulazima ukomenti kinyume kabisa na matakwa pamoja na maono yako Ili tu nipate like.
Sasa nimefikisha lengo, ahsanteni wote mlio like chochote nilichotoa humu wakati mwingine ni pumba ila wanangu wa nguvu mlilike.
Napenda sana likes, naomba muendelee kunipa likes japo mwandiko wangu siyo mzuri.
Niambie wewe ulipata like 1000 mwaka gani?
7984Mimi hata sijui ninalike ngapi
Kumbe na mimi ni kilegendi7984
Yeah, for sure!Kumbe na mimi ni kilegendi