Hatimaye leo nimefikisha likes 1,000

asiyeshukuru kidogo hata kingi hawez shukuru, kila mtu ana kiwango ambacho amejipangia amefika [emoji122] ndo mana ameshukuru [emoji2369][emoji2369]
 
Taifa linalokosa uaminifu, uadilifu katika vitu vidogo, haliwezi kuwa na uaminifu, uadilifu katika mambo makubwa na ya msingi.
Vitu kama hivi vinachukuliwa kimzaha, ila Tz imeshapotea pakubwa sana kwa tabia kama hizi za WaTz!
 
Hapo ulijiunga 2018 na tuliojiunga juzi tusemeje?
 
Kumbe "Likes" ni dili kiasi hiki😁
Bongo mimi sihami kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…