Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Mbona huwasemi UK wanauongozi wa kifalme?
Hujui kitu! Malkia wa Uingereza ndiyo mwamuzi wa mwisho wa mambo yote ya taifa la Uingereza na wala si Waziri Mkuu ama Bunge, Malkia akikataa kitu ndiyo mwisho hakuna wa kuhoji.Nyie Pro- Gadaffi mnatumia ufalme wa Uingereza (Malkia) ambaye ni nembo ya utamaduni na alama ya taifa na sio kiongozi wa serikali kuhalalisha udikteta wa Marehemu Gadaffi.
Hata Canada inaongozwa na waziri mkuu mwenye mamlaka yote ya serikali ila ufalme wa Uingereza (Malikia Elizabeth) unasimama kama alama au nembo ya taifa lao maana ilishawahi kuwa himaya ya Uingereza.
Hata kiongozi wa nchi za jumuiya ya madola ni Malkia Elizabeth kwa sababu nchi hizo ziliwahi kuwa chini ya himaya ya Uingereza kabla hazijapata Uhuru, hivyo Malkia amesimama kama nembo au alama ya utamaduni tu.
Nyie Pro- Gadaffi mnatumia ufalme wa Uingereza (Malkia) ambaye ni nembo ya utamaduni na alama ya taifa na sio kiongozi wa serikali kuhalalisha udikteta wa Marehemu Gadaffi.
Hata Canada inaongozwa na waziri mkuu mwenye mamlaka yote ya serikali ila ufalme wa Uingereza (Malikia Elizabeth) unasimama kama alama au nembo ya taifa lao maana ilishawahi kuwa himaya ya Uingereza.
Hata kiongozi wa nchi za jumuiya ya madola ni Malkia Elizabeth kwa sababu nchi hizo ziliwahi kuwa chini ya himaya ya Uingereza kabla hazijapata Uhuru, hivyo Malkia amesimama kama nembo au alama ya utamaduni tu.
Kwa kweli but. ... Nadhani Sasa taratiibu walibya wanakula mazao ya kuisaka demokrasia. Demokrasia ambayo wamarekani wameshindwa kuitekeleza kwa urhabiti nyumbani kwaoInauma lakini tatizo kubwa la viongozi wa ki Africa na hata za ki Arab ni kung'ang'ania madarakani kwa njia moja ama nyingine.
Huwezi kuwatawala watu wenye akili na ufahamu kwa zaidi ya miaka 42 na bado ukataka mwanao akurithi !!. Watakufanyia fitna tu.
Kuna Nini humo .. naisikia tu miaka kadhaa sasaUmenikumbusha ile movie 13 Hours:The secret soldiers of Benghazi
Hawajuti wanafurahia demokrasia ya kimagharibiNi kweli wanajuta au ni hisia zako tu?
Punguza uongo ndugu waziri mkuu was Uingereza alitia saini kulipeleka likizo bunge na malkia alikubali lakini bunge likapinga na vikao vya bunge vikaendelea kama kawaida sasa jiulize jambo kama hilo linaweza kutokea kwenye kama Morocco, Swaziland au Saudi Arabia?Hujui kitu! Malkia wa Uingereza ndiyo mwamuzi wa mwisho wa mambo yote ya taifa la Uingereza na wala si Waziri Mkuu ama Bunge, Malkia akikataa kitu ndiyo mwisho hakuna wa kuhoji.
Ishu nikwamba yeye pekee ndio anahaki yakuiongoza hio UK kuliko wengine ?! Mpaka anamiaka 40 sasa mamlakani bila kupisha wengine ?! Kua namamlaka ama kutokua nayo wala sio ishu ishu nikwamba wengine hawana uwezo wakua ceremonial leader isipokua wao tu ?!...Nyie Pro- Gadaffi mnatumia ufalme wa Uingereza (Malkia) ambaye ni nembo ya utamaduni na alama ya taifa na sio kiongozi wa serikali kuhalalisha udikteta wa Marehemu Gadaffi.
Hata Canada inaongozwa na waziri mkuu mwenye mamlaka yote ya serikali ila ufalme wa Uingereza (Malikia Elizabeth) unasimama kama alama au nembo ya taifa lao maana ilishawahi kuwa himaya ya Uingereza.
Hata kiongozi wa nchi za jumuiya ya madola ni Malkia Elizabeth kwa sababu nchi hizo ziliwahi kuwa chini ya himaya ya Uingereza kabla hazijapata Uhuru, hivyo Malkia amesimama kama nembo au alama ya utamaduni tu.
Kwahiyo Malkia hana hata chembe ya mamlaka pale uingereza yeye anakula mema ya nchi tu basi hadi kufa kwake?Nyie Pro- Gadaffi mnatumia ufalme wa Uingereza (Malkia) ambaye ni nembo ya utamaduni na alama ya taifa na sio kiongozi wa serikali kuhalalisha udikteta wa Marehemu Gadaffi.
Hata Canada inaongozwa na waziri mkuu mwenye mamlaka yote ya serikali ila ufalme wa Uingereza (Malikia Elizabeth) unasimama kama alama au nembo ya taifa lao maana ilishawahi kuwa himaya ya Uingereza.
Hata kiongozi wa nchi za jumuiya ya madola ni Malkia Elizabeth kwa sababu nchi hizo ziliwahi kuwa chini ya himaya ya Uingereza kabla hazijapata Uhuru, hivyo Malkia amesimama kama nembo au alama ya utamaduni tu.
Nitalijibu kwa mara nyingine tena swali hili kwa faida ya wengi:
Malkia wa Uingereza alichaguliwa na bunge kupitia sheria zilizotungwa na bunge. Hili nilikwisha lisema muda mrefu na ndilo jibu lenyewe.
Maamuzi ya kibunge hufanywa na wabunge kwa niaba ya wananchi Waingereza. Maana yake ni kuwa wabunge huwawakilisha wananchi katika masuala yote ya kimaamuzi ya bunge pamoja na utungaji wa sheria na kanuni za kiutawala za nchi. Mfumo huo hujulikana kama Indirect Democracy.
Kwa maana hiyo, Malkia wa Uingereza alichaguliwa na bunge la Uingereza kupitia mfumo wa Indirect Democracy kutokana na sheria zilizotungwa na bunge hilo.
Ishu nikwamba yeye pekee ndio anahaki yakuiongoza hio UK kuliko wengine ?! Mpaka anamiaka 40 sasa mamlakani bila kupisha wengine ?! Kua namamlaka ama kutokua nayo wala sio ishu ishu nikwamba wengine hawana uwezo wakua ceremonial leader isipokua wao tu ?!...
Hujajibu swaliTatzo mnaishia Queen Elizabeth queen elizabeth, wenzenu walishawazidi kiuchumi na kijeshi jmn lazma tutafute njia ya kuweza kujikwamua kiuchumi na kuepuka utegemezi. Au ilikaa kimya hadi Gadafi anakufa ndio wanaibuka kupiga kelele, hv ingekuwa nchi ya EU inafanyiwa vile nchi za EU zingekaa kimya. Kuonewa waafrica tumesababishiwa na viongozi wetu wenyewe na ndio maana hata viongozi wetu wakionja maumivu ya ujinga wao Wala huwa sipati tabu kbs
Alaf kuna watu humu wanasema bila marekani hakuna amani, sjui huwa wanamaanisha amani ipi
Kweli kwa alichokifanya kwa Gaddafi Obama ni mshenzi tu kama washenzi wengine.Obama ni shetani mkubwa sana,mshenzi huyu
Ndio madhara ya kuongozwa na dikteta! Akiondoka anaacha chuki na visasi mpaka nchi haikaliki.
Una uhakika?Hujui kitu! Malkia wa Uingereza ndiyo mwamuzi wa mwisho wa mambo yote ya taifa la Uingereza na wala si Waziri Mkuu ama Bunge, Malkia akikataa kitu ndiyo mwisho hakuna wa kuhoji.