Hatimaye Libya yawa shamba la Bibi, officially

Hatimaye Libya yawa shamba la Bibi, officially

Nyie Pro- Gadaffi mnatumia ufalme wa Uingereza (Malkia) ambaye ni nembo ya utamaduni na alama ya taifa na sio kiongozi wa serikali kuhalalisha udikteta wa Marehemu Gadaffi.

Hata Canada inaongozwa na waziri mkuu mwenye mamlaka yote ya serikali ila ufalme wa Uingereza (Malikia Elizabeth) unasimama kama alama au nembo ya taifa lao maana ilishawahi kuwa himaya ya Uingereza.

Hata kiongozi wa nchi za jumuiya ya madola ni Malkia Elizabeth kwa sababu nchi hizo ziliwahi kuwa chini ya himaya ya Uingereza kabla hazijapata Uhuru, hivyo Malkia amesimama kama nembo au alama ya utamaduni tu.
 
Nyie Pro- Gadaffi mnatumia ufalme wa Uingereza (Malkia) ambaye ni nembo ya utamaduni na alama ya taifa na sio kiongozi wa serikali kuhalalisha udikteta wa Marehemu Gadaffi.

Hata Canada inaongozwa na waziri mkuu mwenye mamlaka yote ya serikali ila ufalme wa Uingereza (Malikia Elizabeth) unasimama kama alama au nembo ya taifa lao maana ilishawahi kuwa himaya ya Uingereza.

Hata kiongozi wa nchi za jumuiya ya madola ni Malkia Elizabeth kwa sababu nchi hizo ziliwahi kuwa chini ya himaya ya Uingereza kabla hazijapata Uhuru, hivyo Malkia amesimama kama nembo au alama ya utamaduni tu.
Hujui kitu! Malkia wa Uingereza ndiyo mwamuzi wa mwisho wa mambo yote ya taifa la Uingereza na wala si Waziri Mkuu ama Bunge, Malkia akikataa kitu ndiyo mwisho hakuna wa kuhoji.
 
Malkia wa Uengereza ndie anaetia saini kuwa apeleke jeshi nchi yyte, bila ya saini yake uk wasingeshiriki vita Iraq na Libya au Syria
Nyie Pro- Gadaffi mnatumia ufalme wa Uingereza (Malkia) ambaye ni nembo ya utamaduni na alama ya taifa na sio kiongozi wa serikali kuhalalisha udikteta wa Marehemu Gadaffi.

Hata Canada inaongozwa na waziri mkuu mwenye mamlaka yote ya serikali ila ufalme wa Uingereza (Malikia Elizabeth) unasimama kama alama au nembo ya taifa lao maana ilishawahi kuwa himaya ya Uingereza.

Hata kiongozi wa nchi za jumuiya ya madola ni Malkia Elizabeth kwa sababu nchi hizo ziliwahi kuwa chini ya himaya ya Uingereza kabla hazijapata Uhuru, hivyo Malkia amesimama kama nembo au alama ya utamaduni tu.
 
Inauma lakini tatizo kubwa la viongozi wa ki Africa na hata za ki Arab ni kung'ang'ania madarakani kwa njia moja ama nyingine.

Huwezi kuwatawala watu wenye akili na ufahamu kwa zaidi ya miaka 42 na bado ukataka mwanao akurithi !!. Watakufanyia fitna tu.
Kwa kweli but. ... Nadhani Sasa taratiibu walibya wanakula mazao ya kuisaka demokrasia. Demokrasia ambayo wamarekani wameshindwa kuitekeleza kwa urhabiti nyumbani kwao
 
Demokrasia kwa nchi za kiarabu haiwezekani . Wao walishazoea utawala wa kifalme! Kilichofanyika dahari kwa dahari ni mapinduzi ya ghafla ya kuondoa tawala hizi kwa namna ya haraka bila Vita nzito country wide rejea Misri , Libya , Sudan, Saudia,
 
Hujui kitu! Malkia wa Uingereza ndiyo mwamuzi wa mwisho wa mambo yote ya taifa la Uingereza na wala si Waziri Mkuu ama Bunge, Malkia akikataa kitu ndiyo mwisho hakuna wa kuhoji.
Punguza uongo ndugu waziri mkuu was Uingereza alitia saini kulipeleka likizo bunge na malkia alikubali lakini bunge likapinga na vikao vya bunge vikaendelea kama kawaida sasa jiulize jambo kama hilo linaweza kutokea kwenye kama Morocco, Swaziland au Saudi Arabia?
 
Nyie Pro- Gadaffi mnatumia ufalme wa Uingereza (Malkia) ambaye ni nembo ya utamaduni na alama ya taifa na sio kiongozi wa serikali kuhalalisha udikteta wa Marehemu Gadaffi.

Hata Canada inaongozwa na waziri mkuu mwenye mamlaka yote ya serikali ila ufalme wa Uingereza (Malikia Elizabeth) unasimama kama alama au nembo ya taifa lao maana ilishawahi kuwa himaya ya Uingereza.

Hata kiongozi wa nchi za jumuiya ya madola ni Malkia Elizabeth kwa sababu nchi hizo ziliwahi kuwa chini ya himaya ya Uingereza kabla hazijapata Uhuru, hivyo Malkia amesimama kama nembo au alama ya utamaduni tu.
Ishu nikwamba yeye pekee ndio anahaki yakuiongoza hio UK kuliko wengine ?! Mpaka anamiaka 40 sasa mamlakani bila kupisha wengine ?! Kua namamlaka ama kutokua nayo wala sio ishu ishu nikwamba wengine hawana uwezo wakua ceremonial leader isipokua wao tu ?!...
 
Bora wateseke maana huo ulikuwa uchaguzi waliouona unafaa..
 
Nyie Pro- Gadaffi mnatumia ufalme wa Uingereza (Malkia) ambaye ni nembo ya utamaduni na alama ya taifa na sio kiongozi wa serikali kuhalalisha udikteta wa Marehemu Gadaffi.

Hata Canada inaongozwa na waziri mkuu mwenye mamlaka yote ya serikali ila ufalme wa Uingereza (Malikia Elizabeth) unasimama kama alama au nembo ya taifa lao maana ilishawahi kuwa himaya ya Uingereza.

Hata kiongozi wa nchi za jumuiya ya madola ni Malkia Elizabeth kwa sababu nchi hizo ziliwahi kuwa chini ya himaya ya Uingereza kabla hazijapata Uhuru, hivyo Malkia amesimama kama nembo au alama ya utamaduni tu.
Kwahiyo Malkia hana hata chembe ya mamlaka pale uingereza yeye anakula mema ya nchi tu basi hadi kufa kwake?
 
Nitalijibu kwa mara nyingine tena swali hili kwa faida ya wengi:

Malkia wa Uingereza alichaguliwa na bunge kupitia sheria zilizotungwa na bunge. Hili nilikwisha lisema muda mrefu na ndilo jibu lenyewe.

Maamuzi ya kibunge hufanywa na wabunge kwa niaba ya wananchi Waingereza. Maana yake ni kuwa wabunge huwawakilisha wananchi katika masuala yote ya kimaamuzi ya bunge pamoja na utungaji wa sheria na kanuni za kiutawala za nchi. Mfumo huo hujulikana kama Indirect Democracy.

Kwa maana hiyo, Malkia wa Uingereza alichaguliwa na bunge la Uingereza kupitia mfumo wa Indirect Democracy kutokana na sheria zilizotungwa na bunge hilo.


Tangu lini mabeberu weusi ama wayahudi weusi mkamsapoti Muislamu/Muarabu, na isitoshe ndani ya bara letu! never never never na haitatokea kwenu kuwa upande wao mpaka mtakapozinduka. Nyie viumbe msio na imani wala huruma mnachoangalia ni dini/rangi ya mtu ndio kigezo chenu,, mfano mdogo tu kwa huyo RAISI "GADAFI" Lau mauwaji hayo yangefanyika kwa Raisi asie muislamu/mwarabu iwe kwa south afrika, Kenya, uganda ama marekani yani ingewagusa sana sana nyie watu. ila wapo wachache tu wenye kujitambua,wenye imani na huruma zao.
 
Ishu nikwamba yeye pekee ndio anahaki yakuiongoza hio UK kuliko wengine ?! Mpaka anamiaka 40 sasa mamlakani bila kupisha wengine ?! Kua namamlaka ama kutokua nayo wala sio ishu ishu nikwamba wengine hawana uwezo wakua ceremonial leader isipokua wao tu ?!...

Wenyewe wanakuambia Mzungu hakoseagi 😁
 
Tatzo mnaishia Queen Elizabeth queen elizabeth, wenzenu walishawazidi kiuchumi na kijeshi jmn lazma tutafute njia ya kuweza kujikwamua kiuchumi na kuepuka utegemezi. Au ilikaa kimya hadi Gadafi anakufa ndio wanaibuka kupiga kelele, hv ingekuwa nchi ya EU inafanyiwa vile nchi za EU zingekaa kimya. Kuonewa waafrica tumesababishiwa na viongozi wetu wenyewe na ndio maana hata viongozi wetu wakionja maumivu ya ujinga wao Wala huwa sipati tabu kbs
Hujajibu swali
 
Hujui kitu! Malkia wa Uingereza ndiyo mwamuzi wa mwisho wa mambo yote ya taifa la Uingereza na wala si Waziri Mkuu ama Bunge, Malkia akikataa kitu ndiyo mwisho hakuna wa kuhoji.
Una uhakika?
 
Back
Top Bottom