FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
Ni nini mantiki ya hoja yako?Tangu lini mabeberu weusi ama wayahudi weusi mkamsapoti Muislamu/Muarabu, na isitoshe ndani ya bara letu! never never never na haitatokea kwenu kuwa upande wao mpaka mtakapozinduka. Nyie viumbe msio na imani wala huruma mnachoangalia ni dini/rangi ya mtu ndio kigezo chenu,, mfano mdogo tu kwa huyo RAISI "GADAFI" Lau mauwaji hayo yangefanyika kwa Raisi asie muislamu/mwarabu iwe kwa south afrika, Kenya, uganda ama marekani yani ingewagusa sana sana nyie watu. ila wapo wachache tu wenye kujitambua,wenye imani na huruma zao.
Domo KrasiaWalitaka Domo krasia,Sasa wanaifaidi
Faida ya Fitna zao,wameipata....Inauma lakini tatizo kubwa la viongozi wa ki Africa na hata za ki Arab ni kung'ang'ania madarakani kwa njia moja ama nyingine.
Huwezi kuwatawala watu wenye akili na ufahamu kwa zaidi ya miaka 42 na bado ukataka mwanao akurithi !!. Watakufanyia fitna tu.
Kweli kabisaDomo Krasia
Ni uchafu pandikizi ndani ya Africa
Nakuunga mkono!Inauma lakini tatizo kubwa la viongozi wa ki Africa na hata za ki Arab ni kung'ang'ania madarakani kwa njia moja ama nyingine.
Huwezi kuwatawala watu wenye akili na ufahamu kwa zaidi ya miaka 42 na bado ukataka mwanao akurithi !!. Watakufanyia fitna tu.
Japo matumizi L bala R ni makubwa . Lakini umesema ukweli mchunguNakuunga mkono!
Watu wengi wanaangalia walipo angukia , badala ya kuangalia chanzo cha kuanguka!
Viongozi wengi waafrika wanaharibu nchi zao kwa tabia zao na ushauri mbaya wa wapambe wao wanao faidi mazingira hayo ya uongozi wao either vyeo au biashala na pesa!!
Kung'ang'a madalaka , kujilimbikizia mali zaumma, ubinafsi nk ndio mtego wanao utumia wazungu kuinanga Afrika .
Na watawala wa afrika wanapenda madalaka kuliko kitu chochote , Angalia nchi zote za afrika chanzo cha mauaji na vita ni ubinafsi wa kung'ang'ania madalaka au kugombea madalaka.
Watawala wa nchi za Afrika wanaiogopa sana demokrasia , wakiamini inawaharibia mingo zao , Jambo ambalo ni hatari .
Demokrasia ni jambo la asili ambalo haliwezi kukwepeka , kwani ni sehemu ya maisha ya asili ya binadamu. Hakuna mtu anaye weza kuishi bila uhuru halisi .Demokrasia ni tafsiri ya uhuru halisi autakao binadamu.
Hata hapa kwetu haliwezi kutokea achana na MoroccoPunguza uongo ndugu waziri mkuu was Uingereza alitia saini kulipeleka likizo bunge na malkia alikubali lakini bunge likapinga na vikao vya bunge vikaendelea kama kawaida sasa jiulize jambo kama hilo linaweza kutokea kwenye kama Morocco, Swaziland au Saudi Arabia?
Sahihi na ni muhimu sana , si lakupuuzia .Tusijifiche kwenye kiongozi bora au chama bora. Utaratibu ukiwepo wa kupokezana madaraka uheshimiwe .
Mataifa yenye maendeleo endelevu ni yale ya kidemocrasia. Kabla kiongozi hajawaza kuwa mungumtu apumzishwe.
Swali la kipuuzi kabisa unalirudia mara ishirini . Jenga hoja. Umalkia na Ufalme havigombewi . Usiwe mvivu wa kujielimishaKwahiyo Malkia hana hata chembe ya mamlaka pale uingereza yeye anakula mema ya nchi tu basi hadi kufa kwake?
Chanzo ni Gadafi, kwani ilielezwa kwamba wapinzani walitaka kubadili uongozi kwa njia za amani lakini Gadafi alikuwa anawamaliza kila aliye onyesha dalili za kutaka mabadiliko ya utawalaHivi hapo wa kulaumiwa ni nani? ni Gadafi kung'ang'ania madaraka au hao waliyokinukisha kwa wao nao pia kutaka madaraka?
Obama ni shetani mkubwa sana,mshenzi huyu
Demokrasia ni jambo la asili , huwezi kupambana nalo milele , Hata nchi za wazungu zilizo kosa demkrasia itawasukuma kwa lazima . Hakika nakwambia demokrasia sio ya kuikwepa bali inapaswa kuwa nayo then kama ikawa na utaratibu mzuri wa kupokezana vijitikwanza:-LIBYA iliwahi kua namfumo wakupokezana madaraka lini ?!
pili:-kwani nilazima dunia kila taifa lifuate mifumo inayofuatwa nawamagharibi wakati nimataifa yalio huru sovereign state
tatu:-usiseme mataifa Mengi ama makubwa lisemee taifa lako linalofuata demokrasia lilikua namaendeleo gani ambalo halikua likiongoza demokrasia kama LIBYA ile ya Canal ?!
nne:- mbna mataifa ambayo ya SAUDIA QATAR UAE yanafuata Mifumo kama yailokua LIBYA ya GADAFI lakini bado US navibaraka wake ndio wanashirikiana nao ama wale sio madikteita ?!
Mwisho:-muache kujazwa ujinga(sio tusi)kwakigezo chademokrasia isioeleweka inayosimamiwa nakupigiwa chapuo na US navibaraka wake wakat wao wenyewe wanafiq tu
Aliyemuua Gaddafi ni muislamu mwenziye . Wala si hao unaowatuhumu.Tangu lini mabeberu weusi ama wayahudi weusi mkamsapoti Muislamu/Muarabu, na isitoshe ndani ya bara letu! never never never na haitatokea kwenu kuwa upande wao mpaka mtakapozinduka. Nyie viumbe msio na imani wala huruma mnachoangalia ni dini/rangi ya mtu ndio kigezo chenu,, mfano mdogo tu kwa huyo RAISI "GADAFI" Lau mauwaji hayo yangefanyika kwa Raisi asie muislamu/mwarabu iwe kwa south afrika, Kenya, uganda ama marekani yani ingewagusa sana sana nyie watu. ila wapo wachache tu wenye kujitambua,wenye imani na huruma zao.
Upo sawa , nihatari sana! Tujifunze kama taifa.Ndio madhara ya kuongozwa na dikteta! Akiondoka anaacha chuki na visasi mpaka nchi haikaliki.
Haya mambo huwa ni automatically kulingana na hisia za wananchi hasa inapi chagizwa na vitendo vya watawala au wataka madalaka, lakini kama kuna mfumo mzuri wa free& imbalance ambapo ni matokeo ya demokrasia hakutakuwa na kundi kubwa la kumsikiliza mchochexi yeyote.Ila duniani kuna vitu vya ajabu sana,yani kwamba wananchi Libya wameona bora waingize nchi vitani kwa sababu ya Gadaffi hataki kuwaachi nafasi na wenzake nao watawale walibya.
Yani kama Tz wananchi tuingize nchi vitani kwa sababu tunataka ccm itoke madarakani imekaa sana hivyo ni zamu ya Chadema au Act nao watutawale.
Asili how MKUU.Demokrasia ni jambo la asili , huwezi kupambana nalo milele , Hata nchi za wazungu zilizo kosa demkrasia itawasukuma kwa lazima . Hakika nakwambia demokrasia sio ya kuikwepa bali inapaswa kuwa nayo then kama ikawa na utaratibu mzuri wa kupokezana vijiti
Sawa! Lakini, ni wapi nilipoonesha ubaguzi wa rangi ama wa kidini? Maana kile ulichokisema ulini-qoute ukinituhumu mimi kwa niaba ya hao wengine uliokuwa ukiwatuhumu.Ubaguzi wa rangi na udini
Kati ya hawa uliowatag, ni nani umemsikia akiomba chakula na hata karo ya watoto ?!. Hapa tunamzungumzia the late Colonel Muamar Gadhaafi . Ungechangia kumhusu yeye na Libya yake .Huu ni msimu wa kuvuna mpunga na pamba ndio kazi unayoiweza mkuu ila co ya libya. Waambie na wenzio humu akina dudus Odhiambo cairo n.k mkapambane ili mulishe familia zenu na kusomesha watoto