Tunapoelekea libya itakuwa zaidi ya syria,,sababu uturuki wamekita mizizi,,waarabu wamepagawa sana,,kama ujuavyo nchi nyingi za kiarabu zilipigana na uturuki ndo zikapata uhuru,
Sasa wanaona uturuki anazidi kujitanua,mturuki kakamata ardhi syria,anajongea iraq,,ana kambi za jeshi Qatar,somalia na sasa libya,,
Halmark zote za uturuki kutaka kujitanua na kurudisha himaya ya ottoman,ziko wazi,
So waarabu sasa wanaungana wakuongozwa na Egypt dhidi ya uturuki nchini libya,
Kama vita itazuka hii itakuwa kiboko,
Uturuki yuko na Qatar, italy,na US kwa mbali,dhidi ya Egypt,Uae, Russia,france,saud na wapambe wao,mambo ni fire,,inaonekana mturuki yuko mafuta vibaya,,nani atamfunga breki ndo suala wanajiuliza,
Marekani anamgwaya,Russia hawajui la kufanya,,ulaya wamepaniki