Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Afadhali yameangukia baharini,nilikuwa napata shida sn muda wote kuvaa helmet ya pikipiki wakati sina hata bodaboda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]...kwa hiyo mtaa ulikuwa unadunda halo fresh tuu,au sio?Afadhali yameangukia baharini,nilikuwa napata shida sn muda wote kuvaa helmet ya pikipiki wakati sina hata bodaboda
Hahahahaha...Mkuu bado tuna mjadala wa zawadi ya gari
kwa upeo wako unadhani taifa gani ni zuri , kwenye anga la kurusha roketi.Hamna kitu wale Mkuu...
Labda teknolojia nyingine,tena za kawaida..ila kwenye mambo ya roketi + anga za mbali huwa wanafeli sana.
Anataka kujitangaza kuwa na yeye ni mtu wa kimajuu zaidi,kumbe kuna mambo mengine anahitajika atulie tu.Mchina kwa kutengeneza mafekeche hapana kwa kweli
Yani nilikuwa napata stress Sana,nikipanda daladala naweka helmet yangu kwenye begi..nikishuka Tu naitupia kichwani naingia zangu mtaani kwenye mishe..hii kuangukia baharini imekuwa afadhali [emoji1787][emoji23][emoji23]...kwa hiyo mtaa ulikuwa unadunda halo fresh tuu,au sio?
USA boss...kwa upeo wako unadhani taifa gani ni zuri , kwenye anga la kurusha roketi.
Hahahha...noma sanaDuh afadhali manake tulikuwa hatuinjoi na wake zetu kutwa tunawaza kitu kinaweza kutushukia tukiwa kati kati ya mambo
hapana mkuu nipo kwenye swaum na unajua mida ndo tunakaribia kukata utepe...nisamehe tu mkuu.USA boss...
Wale wametuma vyombo hadi mars...
+ kwenda anga za mbali
Alafu umeniqoute kimadharau sana Chief,kwa "upeo" wangu?-sijaipenda hii.
Hahahahah..Yani nilikuwa napata stress Sana,nikipanda daladala naweka helmet yangu kwenye begi..nikishuka Tu naitupia kichwani naingia zangu mtaani kwenye mishe..hii kuangukia baharini imekuwa afadhali [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]....naelewa naelewa Mkuu.hapana mkuu nipo kwenye swaum na unajua mida ndo tunakaribia kukata utepe...nisamehe tu mkuu.
Ndo maana inaitwa the United republic of Tanzakiza(wadanganyika)Hahahahaha...
Achana na kitu kinachoitwa Intelligence Mkuu.....ikifika kesho hilo tukio ndo limeisha hivyo linaibuka jingine.
binadamu tuna vichwa vya kusahau mapema sana.
Unakumbuka ya CAG?
Sana Mkuu...Ndo maana inaitwa the United republic of Tanzakiza(wadanganyika)
Veta veta ufundi ufundi ndo mamboyao ,kilakijiji wana vyuo veta ,kungine huko waendelee kujifunza kwa U.S.AChina si ndio wale wababe wa teknolojia au??
Ukishapata iftar muorodheshee majanga ya vyombo vya anga vya amerika, bila kusahau lile tukio la mwaka 1986 la Challenger. Hapa nyumbani gazeti la mwenge lilituhabarisha kwa kina!hapana mkuu nipo kwenye swaum na unajua mida ndo tunakaribia kukata utepe...nisamehe tu mkuu.
AbsolutelyVeta veta ufundi ufundi ndo mamboyao ,kilakijiji wana vyuo veta ,kungine huko waendelee kujifunza kwa U.S.A
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Ooh..kwa hiyo wanaanza mdogo mdogo au sio?Ukishapata iftar muorodheshee majanga ya vyombo vya anga vya amerika, bila kusahau lile tukio la mwaka 1986 la Challenger. Hapa nyumbani gazeti la mwenge lilituhabarisha kwa kina!