Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Mna wivu kushinda hata dada zenu! Kwa kweli mnajiaibisha.Kwahiyo tunapaswa kufurahia medali? Medali ni tunu binafsi za wachezaji, lingekuwa ni kombe angalau tungesimama kama taifa.
Tumieni akili.