NAGAMAHONGA JF-Expert Member Joined Dec 11, 2012 Posts 11,131 Reaction score 9,301 Jun 5, 2023 #41 Numbisa said: Maskini bado mnaumia tu Click to expand... Hawaumii mliwaambia kabla hasa baada ya kupigwa dsm kwamba at list mtapata medali.Wamewakilisha.
Numbisa said: Maskini bado mnaumia tu Click to expand... Hawaumii mliwaambia kabla hasa baada ya kupigwa dsm kwamba at list mtapata medali.Wamewakilisha.
Mac Alpho JF-Expert Member Joined Aug 5, 2019 Posts 13,953 Reaction score 27,825 Jun 5, 2023 #42 Tate Mkuu said: Mnafurahia nyinyi kama nani? Tukifurahia sisi mashabiki wa Yanga, mafanikio ya timu yetu ndani ya misimu hii miwili inatosha sana. Na nyinyi furahieni mafanikio ya timu yenu kuishia robo fainali. Click to expand... [emoji23][emoji23]
Tate Mkuu said: Mnafurahia nyinyi kama nani? Tukifurahia sisi mashabiki wa Yanga, mafanikio ya timu yetu ndani ya misimu hii miwili inatosha sana. Na nyinyi furahieni mafanikio ya timu yenu kuishia robo fainali. Click to expand... [emoji23][emoji23]