Hatimaye Mabingwa wa medali CAFCC Yanga SC wamerejea nchini

Mnafurahia nyinyi kama nani? Tukifurahia sisi mashabiki wa Yanga, mafanikio ya timu yetu ndani ya misimu hii miwili inatosha sana.

Na nyinyi furahieni mafanikio ya timu yenu kuishia robo fainali.
[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…