Melubo Letema
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 416
- 414
Hatimaye Aliyekuwa Makamu wa Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania (AT) John Bayo Ajiuzulu.
John Bayo amejiuzulu baada ya kusakamwa na Sakata la Vyeti Feki, ingawa yeye amedai amejiuzulu ili awe busy na familia na biashara zake.
Rais wa RT, Silas Isangi amekiri kupokea barua ya kujiuzulu kwa makamu wake.
Ameongeza kuwa wanatarajia kufanya uchaguzi mwingine ili kuziba mapengo mawili, hiyo ya makamu na ya mjumbe wa Kanda aliyejiuzulu pia.
Ikumbukwe , Katiba inasema kugombea nafasi ya makamu wa rais wa RT lazima uwe na Elimu kuanzia Diploma, katika chuo kinachotambulika.
John Bayo amejiuzulu baada ya kusakamwa na Sakata la Vyeti Feki, ingawa yeye amedai amejiuzulu ili awe busy na familia na biashara zake.
Rais wa RT, Silas Isangi amekiri kupokea barua ya kujiuzulu kwa makamu wake.
Ameongeza kuwa wanatarajia kufanya uchaguzi mwingine ili kuziba mapengo mawili, hiyo ya makamu na ya mjumbe wa Kanda aliyejiuzulu pia.
Ikumbukwe , Katiba inasema kugombea nafasi ya makamu wa rais wa RT lazima uwe na Elimu kuanzia Diploma, katika chuo kinachotambulika.