Walikuwa Wamiliki wa maeneo hayo na waliyauza kwa hiari yao; Hawa kuwa wavamizi kama Hawa wa Mbezi beach!Hapo kwa nyerere tu zamani kulikuwa na vijiji mzee alipotoka tu watu wakawahamisha kistyle
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikuwa Wamiliki wa maeneo hayo na waliyauza kwa hiari yao; Hawa kuwa wavamizi kama Hawa wa Mbezi beach!Hapo kwa nyerere tu zamani kulikuwa na vijiji mzee alipotoka tu watu wakawahamisha kistyle
Ova
Kuna mlinzi wa kiwanja cha mama Maria Nyerere huko Mbezi beach. Huyu bwana amejimilikisha sehemu hii na kujenga mabanda mengi na kuyapangisha bila ya kujenga vyoo hivyo wapangaji kutumia mifuko kujisaidia na kutupa vinyesi barabarani kitu ambacho ni hatari kwa afya ya wakazi!Kwani si walisema wanaleta mganga wao awafanyie zindiko wasibomolewe!
Vipi naye kachomoa betri?
Nawasikitikia sana watu. Kuna mahali Kibaha wanaenda kuloga usiku wa manane Tena watu wa maana eti mwenye Ardhi Asahau, serikali isahau na wananuiza eti Kwa nguvu za kafara Sheria isichukue mkondo wake.Yule mganga wao hajafua dafu......... Maana waliita mtaalam afanye mambo ili wasitolewe