Hatimaye matapeli umehamia Whatsapp

You are smart.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] nimecheka sana, ivi Kwa akili ya kawaida tu mtu umekula hio 30 afu anataka umtumie kilo daaah ujinga mwingine bn [emoji1787] daaah
 
Mm muda huu nimetextiwa na waisrael wa company wa IT mpaka sa sa sijawajibu...

Wanasema wanataka kunipa mchongo wa pesa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐Ž๐ง๐๐จ๐ค๐š ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ก๐ข๐ณ๐จ ๐ ๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐›๐ž๐ญ, ๐ง๐š ๐ง๐ ๐จ๐ง๐จ.
 
Hiyo na Mimi ilinitokea sikuwajibu wakaniona sifai wakanipa block
 
Mapuuz hayo, yana ujinga mwingi sana nikipata time ntakuja kueleza upuuz wao mwingine,
 
Kuna wabongo wataliwa kama wale wa UNICEF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ