Hatimaye Mbwana Samatta aanza kujisogeza kwa wadada wa "bongomuvi".

Hatimaye Mbwana Samatta aanza kujisogeza kwa wadada wa "bongomuvi".

Kiumri huyo anaweza kuwa mama ake.
Labda anajisogeza kwa ajili ya Sonia
 
Umemtuhumu Samatta Kwa fikra zako potofu... Usidhan kila mtu yuko Kama ww.. Wewe ukimpost mtu ujue unamtaka ndo maana unahisi na Samatta yuko hvyo....
Fanya yako...
 
Ww ndio Sammata mwenyewe jichunge mzee baba! tunataka tukuone unakuwa on top of the top kwenye top league....ligi ya Belgium ni njia tu....
Samatta haishi kwenye an isolated island bali anaishi ndani ya jamii! Mnashangaza sana kuona kum-post Monallisa ni big issue! In fact, hata kama angem-post mdangaji mkubwa kuliko wote duniani bado hiyo haiwezi kuwa na maana yoyote!
 
Kama ni kweli samata acha huo mchezo halafu nasikia anataka kwenda kucheza ligi yenye laana duniani isiyokuwa na mkubwa Wala mdogo tafadhali sana samata kama unataka kuiga siyo kihivyo kaka hatareee etii unataka ENGLAND
Mchezo upi?! Umesoma lakini thread yenyewe?
 
Umemtuhumu Samatta Kwa fikra zako potofu... Usidhan kila mtu yuko Kama ww.. Wewe ukimpost mtu ujue unamtaka ndo maana unahisi na Samatta yuko hvyo....
Fanya yako...
sawa ndg jinga la
 
Kama ni kweli samata acha huo mchezo halafu nasikia anataka kwenda kucheza ligi yenye laana duniani isiyokuwa na mkubwa Wala mdogo tafadhali sana samata kama unataka kuiga siyo kihivyo kaka hatareee etii unataka ENGLAND
wee jamaa utakuwa unapenda sana ushilawadu.
 
Samatta haishi kwenye an isolated island bali anaishi ndani ya jamii! Mnashangaza sana kuona kum-post Monallisa ni big issue! In fact, hata kama angem-post mdangaji mkubwa kuliko wote duniani bado hiyo haiwezi kuwa na maana yoyote!
Sijapost hiyo kitu bro...nimetoa maoni tu kujichunga....hata ww naweza nikakupa maoni jichunge dhidi ya wadada...kuikwepa zinaa....just that
 
mwanaume akiwa na maendeleo bas shetwan humsogezea msambwanda
 
shida ni record mbaya za wadadabwa bongomuvi. hata huyo monalisa naye ninwale wale tu wadagangaji.
Unahisi yeye ni mpumbavu sana hajui kujiongoz? Unahisi una wafahamu zaid yey anavyo wafahamu.

Jamaa yupo katik fame, i guess anajua na kuwafaham zaidi yako. Acha afanye maamuzi yake.
 
Sijampost kwa hayo anayoyafikiria mtoa mada,naomba apuuzwe ......
 
angalizo: mimi sio mtu wa habari za udaku, ila leo najaribu kuanzisha thread kwa kutumia approach ya kiudaku.

twende kwenye mada kuu.
nakumbuka miaka kadhaa iliyopita hapa jf, watu mbalimbali walimfsia sana mbwana samatta kwa kujiweka mbali na wadada "wadangaji wa mujini" hususani wa kutokea tasnia ya bongo movie.

inasemekana kila mbwana samatta anaporudi likizo toka ughaibuni anakocheza soka, wadada maarufu wa mujini huwa wanatumia kila mbinu ili wapate nafasi ya kuwa karibu naye.

licha jitihada hizo, wengi huwa hawampati maana mbwana samatta sio mtu wa kuzurula usiku kwenye kumbi mbalimbali za starehe na akitua tu bongo huwa anajificha kule kwao mbagara mpaka likizo yake iishe.

yaani ni agharabu sana kumuona akishinda mitaa ya kinondoni wanakopatikana wadada wengi wadangaji wa mujini na wakaka "midananda"(wapambe).

ila safari hii naona kama samatta kaenda kinyume na msimamo wake. kwa mara ya kwanza amempost mdada wa bongo movie monalisa.

hii ndio sawa na kusema, wadada wa bongomuvi hawakwepeki kwa vijana wenye pesa. ila shida yao ni moja, ukishaanza kujihusisha nao kimapenzi, mafanikio yako kiuchumi yanaweza kutoweka. ni kama wana gundu hivi.
View attachment 1116733

Huu ni wivu wa kike tu, sasa ulitaka iwe vipi? What if anawajua since akiwa African lion? What if ni rafiki zake tu? Kwan ww huna rafiki wa kike?
 
Ana kiburi ehh juzi alisema hakuwai pata support ya mtu yeyote ni kipaji chake tu
[emoji3] some times kuongea ukweli ni jambo poa sana.
Kama hakuwahi kupewa sapoti haseme uongo, killa mtu ana stry yake ya mafanikio, wangine wamepeny kwa ndumba, wengin kushikwa mkono na watu, wengine kudra za Jah tu.

Story hazifanani
 
Ww ndio Sammata mwenyewe jichunge mzee baba! tunataka tukuone unakuwa on top of the top kwenye top league....ligi ya Belgium ni njia tu....
Ligi ya Belgium kama ni njia na wewe Kapite.
 
Huu ni wivu wa kike tu, sasa ulitaka iwe vipi? What if anawajua since akiwa African lion? What if ni rafiki zake tu? Kwan ww huna rafiki wa kike?
duh.
 
Acheni dogo apige mzigo hata mimi nisingemuacha
shida inakuja vijana wengi walio date na wadada wa bongomuvi hawadumu mda mrefu kwenye talent zao.

hawa viumbe sijui wana laana gani.
 
Back
Top Bottom